Selfika na JF: Snap it. Show it

Basi kaa hapo wasome miandiko ufurahi kwa raha zako

mpaka sasa sijapataga mtu mwenye ID humu naemfahamu huku kitaa
 

Kwa hiyo kwasababu una miaka 20 wao wana 30 ndio unataka kuonewa huruma sababu ni mdogo?

Kwanza huna adabu kama unajua unaobishana nao wamekuzidi na wana watoto wakubwa...kaa kimya!!
 
[emoji3][emoji3]Kwahyo unaenda kuwasemea?
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…