Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ujeuri mbona kawaida yakeKama kumuita tumeshamuita sana tu ila anajifanya mjeuri
Hahhaa sawa.... Just attach required credentials then will post it[emoji4]Basi nausubiri kwa hamu mzigo wangu..
Basi kaa hapo wasome miandiko ufurahi kwa raha zakoMpaka sasa nishaona ndugu zangu wawili mmoja mtoto wa shangazi mwingine mtoto wa baba mdogo huyu mtoto wa shangazi picha alorusha humu kasahau kuwa na isragram kajirushia hiyo hiyo..
Huyu wa baba mdogo yeye alipopigia hiyo picha na mimi nilikuwepo na siku hiyo tulikuwa kwenye kipaimara cha mtoto wa brother yetu.
Kwahiyo umeniona mimi mlevi sana siyo??Nina chupa za bia tu.. Si zinaweza zika compensate badala ya sarafu
Barter trade
View attachment 1219798 yako wapii
Nacheza na akili zao si majinga haya... Wadada wenye akili na walio starabika huwezi kuta wanabishana icho kitu..
Kama Meeyah, na sakayo ni watu waliostarabika.. Hata kama ni kweli nimekosea wangetumia njia ya kistaarabu kuniambia
We angalia akili zao zilivyo mbovu wameshaanza kutumia personal attacks..
Hata mimi nimepoteza mda mwingi sana bora ningesoma biblia, Nilijua Jf wamestaaribika kumbe wapi..
Sasa hiyo ni mi mama ya miaka 30 inashindana na mimi miaka 20 ...ulafu unakuta ina mitoto mikubwa
Na kweli ni jeuriUjeuri mbona kawaida yake
Au umemsahau!?
Bastola hizo mchezoNimetuma Sasa hivi Sasa jiandae kwa mrogo wangu.[emoji23][emoji23]View attachment 1219791
Sure??Basi kaa hapo wasome miandiko ufurahi kwa raha zako
mpaka sasa sijapataga mtu mwenye ID humu naemfahamu huku kitaa
Tuma hata ya goti kwa nyuma kidogo
Safi sana, Tinga tinga limeingia,View attachment 1219798 yako wapii
Asante, halafu sijaona picha yako jamani.Kwa hiyo kwasababu una miaka 20 wao wana 30 ndio unataka kuonewa huruma sababu ni mdogo?
Kwanza huna adabu kama unajua unaobishana nao wamekuzidi na wana watoto wakubwa...kaa kimya!!
Sawa ila si chibonge mwepesiNiache na uchibonge wangu
We tuma bana ndiyo ntakuambia [emoji1] ...... Umeelewa hapo?hebu ninong'oneze ni vitu gani hivyo?
Safi sana, Tinga tinga limeingia,
ole wako usifiwe kutuzidi hahahaha tuko hapa team wivu
[emoji3][emoji3]Kwahyo unaenda kuwasemea?Mpaka sasa nishaona ndugu zangu wawili mmoja mtoto wa shangazi mwingine mtoto wa baba mdogo huyu mtoto wa shangazi picha alorusha humu kasahau kuwa na isragram kajirushia hiyo hiyo..
Huyu wa baba mdogo yeye alipopigia hiyo picha na mimi nilikuwepo na siku hiyo tulikuwa kwenye kipaimara cha mtoto wa brother yetu.
ByeSawa ila si chibonge mwepesi
Mpaka sasa nishaona ndugu zangu wawili mmoja mtoto wa shangazi mwingine mtoto wa baba mdogo huyu mtoto wa shangazi picha alorusha humu kasahau kuwa na isragram kajirushia hiyo hiyo..
Huyu wa baba mdogo yeye alipopigia hiyo picha na mimi nilikuwepo na siku hiyo tulikuwa kwenye kipaimara cha mtoto wa brother yetu.