MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Unafeli mkuu..nipo bar tayari
Leo umejua kunichekesha studentNimeishi kota
Nimesoma shule ya jeshi
Nawaelewa hao watu.
Afu mtu kuwa romantic ni mtu mwenyewe haichangamani na field yako, unaweza kuwa dk na ukawa kauzu ile ile.
Nipo tangu uzi umeeanza nikapisha vuguvugu nimeshindwa kuendana na kasiAisee.
Ulikua wapi brother jamani Wewe[emoji134][emoji134]
Namna hiyo, sasa nasubiri mrejesho nimuone atakaesukuma hilo zigo
Tafuta.Nipo tangu uzi umeeanza nikapisha vuguvugu nimeshindwa kuendana na kasi
ππππππHilo somo tutapeana hebu usinikinge nijionee uumbaji mie
aah kwangu picha ndo kila kituUsihadaike na picha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti jamani kikieleweka mnikumbuke mpiga debe
Post namba ngapi ayaa nimekoswa na mengi mdogo wanguTafuta.
Zipo huko juu
Haha nilistuka kidogo kuona id hii kwenye notifikesheni zangu hahaHahahahaha huyu baharia nilionaga video yake akijiswitch na manzi fulani basi vituko tupu. [emoji2][emoji2][emoji2] ...... Kiukweli hajatuangusha alimkaza haswaaa
Dar sijui nafeli wapi na jion ishaanza kuingia lazima nizame beer muhimu
Sura kama hizi police wanawapiga risasi bahati mbaya
Wewe tafuta zote zote.Post namba ngapi ayaa nimekoswa na mengi mdogo wangu
Ila jf hii...Haya kwa wale ambao hamkuniona
Depal
Sakayo
mshipa
Hawachi
James Comey
Naingia mjengoooniii
View attachment 1219442
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila wacha vibonge tuzifaidi seats vizuri
Kwani Leo unaenda?Ungesimama tukawachoma wanga na macho yao
Duuh huu uzi unanifanya nasahau kwenda bar leo
πππ nilipe ticherLeo umejua kunichekesha student
Si tukipenda tunapenda ujue.Hakika
Nilishapeperuka.
Huwa mnakuwa na Roho ngumu Sana nyie