njoo piemu
Siyo vizuri hivyo jamani tuma hata kamkono tu
Kuambiwa hana swaga kimemuuma mpaka ametamani kulia alikuwa anajadili poa tu mbona
Hahahaha nimemuhurumia sana swagaboy
Wera weraaaa 🔥wouzer wouzer
Ndiomana nataka kuja kukuiba toka kwa muajiri wako student.
Idara ya sale and marketing hii itakuwa yako
Unafanya kazi nzuri sana
Ngoja nimsaidie kujibu Miniskirts yaani hakikisha upaja unaonekana sasa nyinyi msipokuwa wazalendo msipotangaza mbuga zetu za asili hizo kazi mtamuachia nani? Tanapa?Kitenge, mini skirts au suruali chagua hapo ya kuweka.
Haswaakwa hyo bora ningetuma macho
Nilishaweka huko juuWewe yako mbona hautumi??
Mlevii ,natuma soon
Everyday is the holiday View attachment 1219958
MweehI meant full body picture [emoji1] [emoji1] ,uchambuzi tafanya mwenyewe
Ndo muweke sasa laasivyo tunawapokonya pointZahra White mama umepotea sana njoo utuokoe hapa maana na wewe mhhhh si mchezo.
Usijali kuhusu ilo student.Wera weraaaa 🔥
BTW ni kama nilivyokuambia mwanzo, kunitoa kwa wale jamaa inabidi package iwe nzito nzito 😛
Me nafanya kazi nzuri ticher, nashukuru unaona
Inategemea na Aina ya mabadiliko.
Acha kulinganisha ujamaa na utumwa na vitu vya ajabu.
Utanifanya nijione nimefanya kazi zero[emoji1751]
Picha yako siioni eti..Muwe mnanipigiaga simu jamani nimepitwaaaa roho inaniuma
Kitenge, mini skirts au suruali chagua hapo ya kuweka.
Umesomeka ntajitahidi
Nishukuru basi.Mini skirts iwe juu ya magoti kidogo itapendeza zaidi
Sijaiona hebu tuma tenaNilishaweka huko juu
Kabisa yaniMLEVi Mmoja na jamaa moja anaitwa @evilsprit wanapatia sana uhusika wa ID name zao.
[emoji23][emoji23][emoji23]Sitarudia tena.
Mimi ni mtumishi wa bwana mzuri tu
Kuwa na amani kabisa.