Nakuelewa sanaNishukuru basi.
Ipo kule juu # 3000Sijaiona hebu tuma tena
Awww that will be my pleasureHahahaha eti kamkono
Nikituma nitakutag my dia,usijali
Page 3367Sijaiona hebu tuma tena
Nawaoooooh...Muite aje aone haraka natoa@kapeace @cresidaView attachment 1219975View attachment 1219976
Endelea kuwaumbua mkuuNimepitia huu uzi comment moja baada ya moja.
Sikutaka kucomment hadi nilipoona mjadala kuhusu picha zinazosemekana ni mwanadada Scorpio me zikitumika kukandamiza warembo waliopost picha zao huku.
View attachment 1219660
Hii ni picha aliyopost akiwa ufukweni na hapo alipoitoa hiyo picha.
View attachment 1219661View attachment 1219662
Kwa ambao mlikuwa mnashobokea hizi picha huyu mdada sio mtanzania wala sio Mwafrika.
Hivo msikandie vyakwenu kwa kusifia vya kizungu/kiarabu.
Hizo ni picha alizopost Scorpio akisema ndio katoka kuniaje.
View attachment 1219664View attachment 1219665
Hiyo ya miguu haina haja ya maelezo.
Na nyinginezo ni hii View attachment 1219666
Lengo la kusema haya ni kuwakumbusha nyie vijana msidanganywe na rangi utamu wa chai ni sukari.
Msitamani ngozi nyeupe na kuona uafrika ni old skuli.
Dada zangu mnaotuma picha zenu mkiwa mazingira ya Kiafrika msife moyo mpaka sasa picha zenu ni bora kuliko za huyu Mzungu.
Naendelea kufuatilia.
Kwa hiyo unazidis picha zangu jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa tu
Endelea kuwaumbua mkuuNimepitia huu uzi comment moja baada ya moja.
Sikutaka kucomment hadi nilipoona mjadala kuhusu picha zinazosemekana ni mwanadada Scorpio me zikitumika kukandamiza warembo waliopost picha zao huku.
View attachment 1219660
Hii ni picha aliyopost akiwa ufukweni na hapo alipoitoa hiyo picha.
View attachment 1219661View attachment 1219662
Kwa ambao mlikuwa mnashobokea hizi picha huyu mdada sio mtanzania wala sio Mwafrika.
Hivo msikandie vyakwenu kwa kusifia vya kizungu/kiarabu.
Hizo ni picha alizopost Scorpio akisema ndio katoka kuniaje.
View attachment 1219664View attachment 1219665
Hiyo ya miguu haina haja ya maelezo.
Na nyinginezo ni hii View attachment 1219666
Lengo la kusema haya ni kuwakumbusha nyie vijana msidanganywe na rangi utamu wa chai ni sukari.
Msitamani ngozi nyeupe na kuona uafrika ni old skuli.
Dada zangu mnaotuma picha zenu mkiwa mazingira ya Kiafrika msife moyo mpaka sasa picha zenu ni bora kuliko za huyu Mzungu.
Naendelea kufuatilia.
Wazeee wa mizigoooooooMuite aje aone haraka natoa@kapeace @cresidaView attachment 1219975View attachment 1219976
Weka na kitenge mamy..I'm in love with vitenge[emoji7][emoji7][emoji7]Kitenge, mini skirts au suruali chagua hapo ya kuweka.
Dadekiiii huwa tunalaumu kuna limbwata ila ukwel nimejua hakunaga limbwataMuite aje aone haraka natoa@kapeace @cresidaView attachment 1219975View attachment 1219976
Hivi wewe umekula kweli leo?Kwa hiyo unazidis picha zangu jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu chapombe ana hatari snaHizo pombe huwa unapewa bure siyo??
Kwakweli ligi imekupita kizembe kabisa ila tushamzika tunasubiti mwingine akujeMuwe mnanipigiaga simu jamani nimepitwaaaa roho inaniuma
Dadek walahi hii mashine kama ndio unakula chipsi yai pita kushotoWazeee wa mizigooooooo
Mkuu naona ugonjwa wako huo,,Nawaoooooh...
Hili swali gumu sitaki dhambi ya uongo naomba nijibu KeshoUnaenda au huendi?
Mimi mama? Aliekuja itakua hajasukuma mlango vizuri
Kuna mtu kanambia eti umefunga geti kumba kanidanganya au ameogopa