Bado sijaona maana inaonekana wengi wenu hamjikubali mnaishia kwenda kuchukua picha google na kuzileta humu, tafasiri yake ni kwamba bado hamjiamini...
Wachache sana wameweka picha zao halisi na wengi ni vibonge, na wale wenye midomo sana humu naona asilimia kubwa wameishia kwenda kuchukua picha google...
Bado naamini nakojolea sehemu nzuri sana...
Nazifuta sasa
Uniache [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilijua watu msiokuwa na wowo mtakuja kupinga hapa watu wenye umbo Kama la nyoka mfano mdogo ako Saint anne pamoja na wewe
Wewe una yako tuBado sijaona maana inaonekana wengi wenu hamjikubali mnaishia kwenda kuchukua picha google na kuzileta humu, tafasiri yake ni kwamba bado hamjiamini...
Wachache sana wameweka picha zao halisi na wengi ni vibonge, na wale wenye midomo sana humu naona asilimia kubwa wameishia kwenda kuchukua picha google...
Bado naamini nakojolea sehemu nzuri sana...
hahaha yani ndo unanikata maini kabisaKweli tena
Umejitahidi, ila unajua maneno mabaya tu, maneno ya hekima hujui dooh[emoji1] [emoji1] , kuna lile ulilomwabiaga yule Dada wa vinywaji dah siwezi hata kulirudia[emoji12]Hahaaha naokoteza tuu
Yani kila mda napitwa mimi tu aisee
Unitag basi kwenye hizo neema niwe nawahi kufika
Usinifanyie hivi sakayo na kukusifia kote kule jamaniNaomba pichaaa
Sawa sawa kabisaNjoo na pochi
AbeeeeeUsinifanyie hivi sakayo na kukusifia kote kule jamani
Umeamini sasa?!Sawa sawa kabisa
Hahah itel ndio simu iliyo salama best..
Hizo smartphone mnazotumia muda wowte tukitaka kukudaka ni dakika sifuri..
Hakikahahaha yani ndo unanikata maini kabisa
Na unavyoitikia sasa 😂😂Abeeeee
Pole[emoji28][emoji28]Nimepitwaaaa jamani
Wewe una yako tu
Mbona tumejipost za google zimo lakini na orijini zimo hayo macho yenu hayaoni vizuri
Hapo kwenye vibonge itakuwa sio ladha zako
Hapo unapokojolea dokoa basi utupie tumuone Mrs Cardio
Wenye midomo wengi wetu vimbaombao utuvumilie
miminimama du ze nidifuli please
Uogopi kuchomolewa betri