Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sawa
Bado sijaona maana inaonekana wengi wenu hamjikubali mnaishia kwenda kuchukua picha google na kuzileta humu, tafasiri yake ni kwamba bado hamjiamini...

Wachache sana wameweka picha zao halisi na wengi ni vibonge, na wale wenye midomo sana humu naona asilimia kubwa wameishia kwenda kuchukua picha google...

Bado naamini nakojolea sehemu nzuri sana...
 
Bado sijaona maana inaonekana wengi wenu hamjikubali mnaishia kwenda kuchukua picha google na kuzileta humu, tafasiri yake ni kwamba bado hamjiamini...

Wachache sana wameweka picha zao halisi na wengi ni vibonge, na wale wenye midomo sana humu naona asilimia kubwa wameishia kwenda kuchukua picha google...

Bado naamini nakojolea sehemu nzuri sana...
Wewe una yako tu

Mbona tumejipost za google zimo lakini na orijini zimo hayo macho yenu hayaoni vizuri

Hapo kwenye vibonge itakuwa sio ladha zako

Hapo unapokojolea dokoa basi utupie tumuone Mrs Cardio

Wenye midomo wengi wetu vimbaombao utuvumilie
 
Wewe una yako tu

Mbona tumejipost za google zimo lakini na orijini zimo hayo macho yenu hayaoni vizuri

Hapo kwenye vibonge itakuwa sio ladha zako

Hapo unapokojolea dokoa basi utupie tumuone Mrs Cardio

Wenye midomo wengi wetu vimbaombao utuvumilie

Uogopi kuchomolewa betri
 
Back
Top Bottom