fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Kazi mbovu hii niipeleke wapi besti, yaani hata mzee wa kazi sijui kama atashtuka hata...
Binadamu ndivyo tulivyoNina uhakika.Pengine huyu Dada aliweka kwa intention njema watu mfurahi
Maneno haya yatamkatisha tamaa siku zingine
Kwani ukitumia lugha laini Na ya busara utapungukiwa.
Be nice to people friend.You never about tomorrow
Gracias hermanolo mismo para ti senor
Watoto wa hivi wanajua mapenz balaa
Halafu ya kwako sijaiona.
Usiangalie makosa yake mkuu ye kaamua kuchangamsha wana JF usiku huu kwa style yake sasa matokeo yake mnamshambulia bila sababu za msingi.Sura na umri haviendani kabisa dada angu. Ukiamua kuwa real hakikisha umeedit mauongo yako kwanza.
View attachment 1220133
Unforgetable
Saint anne
Pm yako hutakagi nifike
Aisee... Sisi ambao umri umeenda enda kidogo tunapost selfie zetu wapi?
Ngachokaa[emoji848][emoji848]Sura na umri haviendani kabisa dada angu. Ukiamua kuwa real hakikisha umeedit mauongo yako kwanza.
View attachment 1220133
Unforgetable
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we Mshana wewe watu si watajua hiyo chupi ilikuwa yanguNje ya mada... Je tunaweza kuweka kama hiz? Nimekumbuka mbali sana.... Khantwe njoo tukumbushane ile mada ya chupi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
My apology kwa kutoka nje ya mada View attachment 1219902
Huwa natumiwa, hata hivo wanaisha sasa maana utunzaji wake unataka uwe mvumilivu sana. Picha nilipiga wakati nawaonja nilivoletewa sahivi nilikuwa sehemu siyo sahihi kupiga picha thats why nikachomoa hii ingawa muda huo nilikuwa nawalaMkuu, umewapata wapi hawa jamani napenda sanaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we Mshana wewe watu si watajua hiyo chupi ilikuwa yangu