Mimi mleviWewe ni nani??
Panandi [emoji4][emoji4]Tumia hiii...
"Walamusha"
Hiyo sio yangu
Sasa hii ni kutegana
somewhere.....kila nikicrop inakataa natuma hivi hivi kwani natafutwa???View attachment 1220405
Ngoja nkusaidie.. Hahahaha... Japo haina maana tenasomewhere.....kila nikicrop inakataa natuma hivi hivi kwani natafutwa???View attachment 1220405
Haha nakuleteaaa ticher akeeMaendeleo ya mwanafunzi wangu ni muhimu sana. nataka kuyaona.
Toka Jana nasubiri unileteee daftar lako la home work, nisahihishe ujue
Nadhani tunaopost hapa wengi wetu hatuna madhara na ndo maana tunajiamini.!! Huwezi kuta watu wenye mambo yao mengi wakijaribu kulifanya hili.!!
Haha yangu nilishatuma juzi
Kwani kuna tatizo gani mpaka watafutwe wakamatwe?
Just for fun bro nothing else. Af usiwe complicated sana utaishi kwa taaabu ndugu yangu.. Complication Is harmful.. Have fun big bro.Izo 350hr zina ingiza hela au..wtf[emoji28][emoji28]
Kwa picha hizi tu,wakiamua kuwatafuta wanawakamata kama kuku wa mdondo
itabidi tufanye threesomeReferee anakuwa nani kwenye hiyo match sasa?
Unatwanga maji kwenye kinu, huyo hawezi kukuelewa.Nina uhakika.Pengine huyu Dada aliweka kwa intention njema watu mfurahi
Maneno haya yatamkatisha tamaa siku zingine
Kwani ukitumia lugha laini Na ya busara utapungukiwa.
Be nice to people friend.You never about tomorrow
hahhaha thanks madam....nimejitaid kucrop imekua ishu vp ww umetuma yako nzima??Kujiamini muhimu mkuu
Ngoja nkusaidie.. Hahahaha... Japo haina maana tenaView attachment 1220410
Waache kina kigogo wajifiche bana sio sisiWanapenda kutishana sana. Sasa kama mimi nianze kuogopa kukamatwa kweli?
Kwa kosa gani? Labda kama kuwa JF ni kuvunja sheria za JMT ndo nitakua na hofu zaidi ya pale ni privacy tu ukitegemea huku tunaandika vingi vingine vya uongo sasa unahofia anaekujua akiona inakuaje