Ooh Sawa nimeelewaNdio.
Hii mwalamusha sanasana inatumika asubuhi.
Unajibu panandi.
Mwaghona Ni Muda wowote unapokutana na mtu kwa Mara ya kwanza.
Unaweza ukajibu hivyohivyo "mwaghona" au ukajibu" ena"
Pia zinaweza kutumika zote kwa pamoja..ikianziwa na mwaghona
Ukijibu,msalimiaji anaongeza na hiyo "mwalamusha" unajibu "panandi"
Anaweza kuongezea "ndagha" unajibu "ena"
Ikiwezekana tuma nyingi nyingi huko kwa pm
Naelekea bandarini
Akitoka bandarini atupeleke japo Mamboz tuuSeaclif?
Location basi jamani
Ndio.
Hii mwalamusha sanasana inatumika asubuhi.
Unajibu panandi.
Mwaghona Ni Muda wowote unapokutana na mtu kwa Mara ya kwanza.
Unaweza ukajibu hivyohivyo "mwaghona" au ukajibu" ena"
Pia zinaweza kutumika zote kwa pamoja..ikianziwa na mwaghona
Ukijibu,msalimiaji anaongeza na hiyo "mwalamusha" unajibu "panandi"
Anaweza kuongezea "ndagha" unajibu "ena"
Unataka kujifunza?Duh lugha gani hii ?
Hili la kwanza kwa mwanaume ni bonge la tusi.Ulikuwa EDA au honeymoon?! Hapa kule kote haupo.
Jana nilikuwa na cha Arusha
Unataka kujifunza?
Ya kwako unaijua?Ikiwezekana hata sasa hivi
Arusha hiiVumbii imenifanya hamna...View attachment 1220603
Weka yote tuoneVumbii imenifanya hamna...View attachment 1220603
Njoo pm nikupe yotee..Weka yote tuone
Hukuwepo mkuu picha metuma sana tuu! Saba sema mezifuta!Nimeangalia mwanzo mpaka mwisho naona hujaselfika bado kulikoni?
BasicallyArusha hii
Anza weweUzi umepunguza speed.
Mliofuta picha jamani mrudi Tena na kuweka upya