Poleni sana jamaniArusha jioni hii hali ya hewa ilikuwa hivyo.
Naona ulikuwa unamsaidia kuchochea kasi ya pichaJamani[emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Eti Msaidizi wa mganga...umenionea Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asante, Wapole akina Valee, mimi si dwellerPoleni sana jamani
Pole bila mirinda nyeusi?Poleni sana jamani
Mate unakwama wapi aise!!Mbona umefuta sasa mimi nilitaka nikuone
ππHivi watu mnaweka picha halafu mnafuta ndio nini? Mnaboa [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
HmmmmAsante, Wapole akina Valee, mimi si dweller
aiseWeka lako
Useme hapa kabisa na ulimwengu ujueKweli we mwanamke changamoto[emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pole bila mirinda nyeusi?
Nani kafuta?Hivi watu mnaweka picha halafu mnafuta ndio nini? Mnaboa [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Zangu ni OG lazima zidumu kwa muda mchache πMbona umefuta ??
Pole dadaHivi watu mnaweka picha halafu mnafuta ndio nini? Mnaboa [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaa we mwanamke changamoto eti vuzi[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]yaani nimeona 'vuzi' tu hapo mengine hata sijaona
Sikai Arusha nilikwenda tuHmmmm
ππ sahivi tumebaki na manyunyu kwahiyo hiyo pole yako inabidi ije na kikombe cha kahawa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wataiona kwelii na hilo gizaa
Lakini zi zinatakiwa zifutwe?[emoji23][emoji23]
NdioooLakini zi zinatakiwa zifutwe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona nimetupiaMate unakwama wapi aise!!
Kila nikichungulia humu na kuta maneno matupu;
Haha fanya kutupia; tusafishe macho