Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Oooh kumbe!!!kavaaa shati kubwa,halafu kaminya tumbo hapo
mwambie aachie tumbo uone vifungo vitakavyo tight
Just jokin' tuendeleze idadi tu ya comment mpaka time ya kulala.....story zianzie hapaMbona kuhongwa tena mkuu
Kabisa mkuu.Unaweza kulitia taifa hasara
Umeiba picha yangu mkuu haha
Safari hii nikiituma ata isave ndio aiangalie vizuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fanya kuituma tena
Nasubiri uni PmKuna foleni kwani sikuone PM
πππ tutafutane kisa nini?Msije kutafutana humu. Nasubiri uzi uishe ndio niweke.
Usijali kabisaaJust jokin' tuendeleze idadi tu ya comment mpaka time ya kulala.....story zianzie hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah....
[emoji23][emoji23][emoji23]Safari hii nikiituma ata isave ndio aiangalie vizuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio
Nicheki wewe muoneNasubiri uni Pm
Sioni mbona? Weka hapaHahahaha nishaweka
Woiiiiii ππππππSubiri waone wahusika watakwambia.
Wengine tukiweka kucha tu,zahma.
Weka yako mkuuSioni selfie mnapiga porojo tu