amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Mkongwe mwenzangu weka ya kwako jamani maana toka enzi za kina Kaizer tupo tu
Wacha weeeeeh!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weeeeeh!!!
Watu na O zenu
[emoji16] [emoji16]Nimekupm saa nyingi sana..
Au msg zangu hazifiki?
Natafuta rafiki mwenye moyo Kama wa aunt ezekiel.
Angalia kweye chat tuliochat last time?.[emoji16] [emoji16]
Mimi pia nasubiriNimekupm saa nyingi sana..
Au msg zangu hazifiki?
[emoji23][emoji23][emoji23] Unaumwa wewe umeshindwa kuni text ngoja nimwambie sakayo wanguInaonekana hautaki picha wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress... Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya.. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya... Kuna wakati hatuhitaji kusoma post zenye kutafakarisha... Kuna wakati tunakuwa wavivu kujibu hoja kwa maandishi ama kuchangia...
Solution hii hapa sasa.... Utashangazwa na matokeo yake... Utajikuta kwenye ulimwengu wa furaha isiyo kifani... Fanya hivi hapo ulipo tupia picha yako.. Ya sehemu yoyote mwilini... Epuka picha yenye kuonesha sura kwa sababu za wazi kabisa... Mimi nitaaza na hizi.. View attachment 1217156View attachment 1217157View attachment 1217158
Kwangu sinaAngalia kweye chat tuliochat last time?.
Wewe babu tuma picha zilizo romantiki.
Weka ya kwako hapa tule kwa machoNaona mabazazi wameshafika hapa wananyemelea totoz
Wewe babu tuma picha zilizo romantiki.
Ukiwa kijana.
Na wewe umechelewa?Mimi pia nasubiri
Hahaha hivi kwanini wanifanyia hivi aise.