Naona umelishikia bango.Ingia insta andika jackieappiah hiyo picha kama hutoikuta, huyu Dada ni sta mkubwa mzuri ana macho mkubwa, hachubui ngozi safi
ππππUlivyokazania Dada ππππ
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimeshindwa kukielewaUtata mtupu
Haya mnisamehe sikujuwa huu Uzi ni wa kuweka picha feki, nilijua mnaweka zenu original. Ndo maana ni kasema coz namjua vizuri Huyo star.Plz kwa niliemkwaza akisoma hapa anisamehe bureNaona umelishikia bango.
Me hiyo picha alivoituma tu nikaisearch google na kweli nikakuta ni ya huyo Jackie appiah lkn niliona haina haja ya kuja kuyasema.
Nakusalimia uncle mzuriππππ
Ni kaukweli kachungu mzeeBro mbona unapendelea sana kukashifu wanawake hivo
Na we uliona ππNaona umelishikia bango.
Me hiyo picha alivoituma tu nikaisearch google na kweli nikakuta ni ya huyo Jackie appiah lkn niliona haina haja ya kuja kuyasema.
Imekuuma nini boya wewe?Una uwezo wa kutengeneza nini wewe? Ushamba tu
Hahahah ila kwa ridhaa ya nani MkuuNimelazimika kukomenti chochote si kwa ridhaa yangu!
Nyie mshaonjana utamu mnatuzingua tu hapaNakusemea kwa cha Arusha unataka kunikana hadharani
πππ utamu wa kuchat PM au utamu wa kuqouteana?Nyie mshaonjana utamu mnatuzingua tu hapa
Tuma na yako iwe ya nneHuu uzi comments 1k lakini picha zimetumwa tatu tu
Bora ufutwe
Sasa we kila sehemu unawashutumu, si kila kitu unatakiwa useme. Na sio post hii tu, nimeona sehemu nyingiNi kaukweli kachungu mzee
Hiki ni kiungo gani cha mwili
Naweza kuwa nilikua wa kwanza lkn wanawake nyie hamna nyongo. π€£π€£ Yaani mtu kukaa nalo kaona tabu.Na we uliona ππ