Tupooooo
Kuna mmoja kapost tu mguu wake toka mchana ile taswira bado inazunguka kichwani[emoji39][emoji39]
Unaenda wapi?Weekend loading.... View attachment 1217862
huu uzi ushaharibika me nilitegemea picha tu za member ndio ziwe zinatembea humu.
😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nacheka mimi kama mazurii
Sawa dada
Akagoogle na hiyo hapo juu[emoji23][emoji23][emoji23]
Ebu fanya kukujaNa hivi sina dada, sina kaka, nipo mwenyewe tu utafurahi
Naona mapema tu 😂Kula bhata... Bhatani.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji123]
Mimi nilijua guwez weka picha yako humu kirahisi rahisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaweza nishawishi nikaweka picha yangu nzima...
[emoji120][emoji120][emoji8]Kama wewe ndio huyo nimekupenda bure uko natural sana...
Safi sana...
Kuanzia leo sijibu hata coments zako
Mbona meweka mbonaMimi nilijua guwez weka picha yako humu kirahisi rahisi
[emoji41][emoji41]View attachment 1217857
Nimeshachanganya🤣🤣Hahahahaha
Zakuambiwa changanya na zako!
Sema tena hujaonaaNimeshachanganya[emoji1787][emoji1787]
Mpaka tukome
Miaka yote ya kuwa kwenye jukwaa hili huwa najua wewe ni Me. Anyway nisamehe kwa kukengeuka try to be feminine kwenye comments zako.