Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna bibi alinambia ukionea kamtu kamekondeana basi ujue ana roho mbaya.

[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Duuuh, yawezekana ni kweli maana nina roho mbaya hatari na wivu sasa kama wote.
Kumbe ndio maana sinenepi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo mimi nikipost nipo kwenye Gari mnasema mara picha ya mzungu. Mara nimegugo sasa mimi nifanyaje jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weka usiyo kwenye gari 😂
 
Duuuh, yawezekana ni kweli maana nina roho mbaya hatari na wivu sasa kama wote.
Kumbe ndio maana sinenepi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…