Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh, yawezekana ni kweli maana nina roho mbaya hatari na wivu sasa kama wote.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna bibi alinambia ukionea kamtu kamekondeana basi ujue ana roho mbaya.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Nyie ndio msingi wa future JF
Mshana yale kule kushoto kwenye kibakuli cha silver ni maharage?[emoji849]
Jumapili njema.View attachment 1218571
Kwa kweli Mungu fundiNimeyapenda mapaja yao
Weka usiyo kwenye gari 😂Tatizo mimi nikipost nipo kwenye Gari mnasema mara picha ya mzungu. Mara nimegugo sasa mimi nifanyaje jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yes mpendwa lazima nijikubaliKama wewe.
Sangoma usiniroge. View attachment 1217189
OkyOG kabisa hiyo kaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Safety muhimu kwenye kila nyanjakwani ukiwa angani usiku huwa unavaa reflector ??
Shoga angu em niazime hii miguu niende nayo kwa shemeji yako ntakurudishia kesho asubuhi15 minutes beforeView attachment 1218204
Ukipata sehemu ya kupost nijulisheAisee... Sisi ambao umri umeenda enda kidogo tunapost selfie zetu wapi?
Ipi?Picha bana
Rafiki yangu wa kudumu..sijaona ya kwako humuSangoma kumbe una kiatu kizuri hivyo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuuh, yawezekana ni kweli maana nina roho mbaya hatari na wivu sasa kama wote.
Kumbe ndio maana sinenepi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona meweka mbona