AiseeeIpi?
Una vidole vizuri kama vyangu π
Duuuh, yawezekana ni kweli maana nina roho mbaya hatari na wivu sasa kama wote.
Kumbe ndio maana sinenepi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jana ukanichomesha dadaNaomba nitumie mdogo wangu pm na mie
Sijaona picha yako brotherTeh teh dah ....
Hayo ni makitu gani[emoji87]
Nilitaka kuandika hivi mkaKa kapendelewa ana vidole vizuriUna vidole vizuri kama vyangu π
Sanaa,ni vizuri kwa kweliNilitaka kuandika hivi mkaKa kapendelewa ana vidole vizuri
Nitumie piemu nilinganisheUna vidole vizuri kama vyangu π
Niko humo napiga kazi.. zoom utaniona View attachment 1217449
Wewe ya kwako iko wapi?Ombi : Mnaoweka picha zenu msiwe mnazifuta.
Maana tulio wengi tunapishana na kurasa za huu uzi,sasa tunapotaka kurudi kuona picha tunakuta hola.
Niko studio
Birthday loading [emoji14]View attachment 1218490
Sanaa,ni vizuri kwa kweli
Halafu sijaona selfie yako hadi sa hivi π€
Jana ukanichomesha dada
numefuatilia huu uzi nilichokuja kukigundua ni kwamba
Mosi:kama wewe hufahimi sana hapa hata ukituma picha yako hakuna atakae jadiri yaan zinajadiliwa picha za uyu mshana tu
Mbili:nilivyo elewa mimi ni kwamba unajiself pale ulipo yaan apo apo sasa watu wanaenda kutafuta picha gallary mpaka google uko
tatu:watu wameamua kabisa kwenda kuvunja kabati za nguo zao nakuchukua nguo nzuri kuzidi zote ndio anapigia picha wakati lengo lilikua ni kuona daily life syle yako
mwisho:kaka mshana kwa uo mwendo wako utawala wengi sana humu maana umeanza ujinga wakutoka nje ya lengo yaan umevuka mipaka mpaka kupost misosi yako
nb:kama wewe hufahamiki ata usijisumbue kupost kapicha kako maana hakuna ata atakae reply post yako
Hahah...
Unachimba visima, unajenga madaraja au unatafuta mafuta ya asili???
sawa bwana hamna tatizo lakini15 minutes beforeView attachment 1218204
πππππππBrother huku ni chit chat relax jamani.