Mtapenda
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 1,115
- 2,063
Mtoto mkaliTusiokuwa na picha acha tuweke za wadogo zetu [emoji134][emoji134]View attachment 1217217
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto mkaliTusiokuwa na picha acha tuweke za wadogo zetu [emoji134][emoji134]View attachment 1217217
Wewe mlaini hivo halafu mzuri utakuwa baunsa kweli.?Nani anakucheka eti, baunsa niko hapaa
Hadi tujiridhishe kama kweli uko na sisi unaweza ukatutoroka baada ya kufungwaAsante mnaandikishia wapi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwanamke mfupi kama wewe ndio nakutaka
Daah, yaani kama uliisoma akili yangu.[emoji23][emoji23][emoji23]kinundu
Jino linauma kaka?!
KabisaaaWewe mlaini hivo halafu mzuri utakuwa baunsa kweli.?
Daah, yaani kama uliisoma akili yangu.
Ndio nilikuwa nacrop ya kishundu[emoji23][emoji23][emoji23]
nitumie pm mkuu niinjoi mwenyewKuliko nitume full ni bora nikubali ameshinda mkuu.
Pole sana jamani...Hapana naona tu maruweruwe hata sielewi.
[emoji91][emoji91][emoji91]
Weka basi kapicha kako tunaweza kupata nafasi za wazi. [emoji41]Pole sana jamani...
Utaelewa tuuu!
Hahaha huu uzi umeshangaza wengi xana.Huu uzi unaweza ufikia uzi wa "comment chochote upate like", uzi unakimbia ule sijapata ona.