Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe nawe hukuiona eeh!! Afadhali.
Acha kutuzeveza bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe nawe hukuiona eeh!! Afadhali.
Nakazia mimi jamaniWeka tena
Mwenyewe auntie wangu[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Siweki.Kumbe uliweka humuu!?
Jamanii, hebu weka tena auntie!!
Una uzee gani, hebu hukoo
Nakazia mimi jamani
Jamanii jamani...Siweki.
Nina wajukuu 12 hadi sasa.
Mwenyewe auntie wangu
Jamanii jamani...
Mungu hapendi ubabe!!
Wajukuu wa jirani labda
Nasubiria picha, hata ya shingo tuu jamaniKaone vile!
MmmhhhhWajukuu zangu kabisa, uzao wa my uterus.
Ngoja nikaigugo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] subiri tena mwakani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki nimecheka!Ngoja nikaigugo
Wacha we!!Nasubiria picha, hata ya shingo tuu jamani
Mi niliiona una kaumbo ka kimisHivi kumbe huwa unadhani mimi mtoto mwenzio eeh? Halafu niliitoa haraka najua hukuiona.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki nimecheka!
KweliiiWacha we!!
Sio yeyeMi niliiona una kaumbo ka kimis