Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Hebu muuulizeSifa zipi izo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu muuulizeSifa zipi izo.
Jamani huu uzi ni mtraaaaaaaaaaaaaaam.
Kumbe ndio maana nyuzi nyingine hazina wadada maana mmejificha huku.
Sasa ngoja nimalizie kibarua nirudi nyuma nisome comments.
JamaniiiMmhh nimegoma
AmennnHalleluya
jilipue
Picha yako tunaitaka hivi mama sabrina kaenda wapi?
Hivi huyo kwenye avatar yako ni wewe mwenyewe??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ayayayayay mimi huwa sikubali kushindwa kama niko sahihi yaani tutaenda sambamba mpaka kieleweke aiseNakuhurumiaga tu wanavyokufanya ushushe magazeti una kipaji cha peke yako nikupongeze tu tena
Mi siwezi aisee nikiona mtu haelewi nampq ushindi
Kolo boy a.k.a Lizarazu toka Kanda ya ziwa[emoji3526][emoji3526]Lizarazu na kundi lake wanakufanya uwe mkali sometimes
Ewaaa kuna watu watakataaHuu mguu ulivo mtamu unalia nao ugali na mchuzi kabisa
Hahhahahahahah huyo mjinga mmoja tuliompa kiki imetosha, sasa na yeye anatamani kujibiwa na sisi watoto wazuri apate kiki afu anajidai "sitaki kushambuliwa" nani sasa ana muda nae.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mamamama kwa hili shushu ningetoka JF milele
Mimi kweli sina swaggs.. Ndio maana nimempenda mwenye nazo
Acheni kulia lia..
Daah sijaiona ipo page ya ngapi utakuwa ni mfupi lakini ana gubu kama loteeAliipost juzi mbona
Nasubiri bebe [emoji3044]Just wait bebe
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Yani chochote hata mkono mguu shingo lips utachovutika nachoHahahaa.. yangu ya full au passport? Mama Sabrina kazi zitakua zimemkaba
Hahahaha Mshana anasema huu uzi aliupika akiwa uchi ndiyo maana mtamu etiJamani huu uzi ni mtraaaaaaaaaaaaaaam.
Kumbe ndio maana nyuzi nyingine hazina wadada maana mmejificha huku.
Sasa ngoja nimalizie kibarua nirudi nyuma nisome comments.
Jamani huu uzi ni mtraaaaaaaaaaaaaaam.
Kumbe ndio maana nyuzi nyingine hazina wadada maana mmejificha huku.
Sasa ngoja nimalizie kibarua nirudi nyuma nisome comments.
Ipo wapi jamani nataka niijadili hiyo picha.Ukweli upi unaotuchoma mbona hata sie tuliisifi ila dharau zako ndo zimekufikisha hapa na pic ulopost leo nimeiona.....unapenda wenye swaga wakati mtu mwenyewe huna swaga