Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sio Kama unanyanyapaliwa mtumishi nchi yetu inaihitaji watu wenye rutuba Kama miminimama

Nyie wengine mliobakia tutawabadilisha na wanyarwanda Wale hata wasipokuwa na neema fil minyatu tutavumilia kidogo sura
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sikutegemea Kama utaninyanyapaa hivi walahi
 
Nawasalimia misukule wote wa bwana Mshana jamaa anatugeuza anavyojisikia tu,

miminimama nimekuona aisee bonge la zigo
Saint anne imebidi nikusave bado natafuta gukitambi gulipo
Hawachi umejikausha picha yako inatakiwa
Sakayo naona muguu upo, jana kasura kalinibariki sana

Ntarudi
Mimi niliweka mwanzoni mwa uzi ila kwa niaba yako best yangu nairudia
IMG_20190930_192124.jpg
 
Back
Top Bottom