Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Emu nithibitishie kwa kumkabidhi mwanafunzi 😛😂Ukaksi huwa ni nje tu student;
mpaka ATM card zetu huwa tunazikabidhi kwa wakwe na wapendwa wetu, trust me.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Emu nithibitishie kwa kumkabidhi mwanafunzi 😛😂Ukaksi huwa ni nje tu student;
mpaka ATM card zetu huwa tunazikabidhi kwa wakwe na wapendwa wetu, trust me.
Kulikoni?
Ndiyo ndiyo
Kumbe Ni mwalimu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sikutegemea Kama utaninyanyapaa hivi walahi
Nani kasifiwa huyo?Iweke niione maana sio kwa kusifiwa uko
Usini nyanyapae sasa
Nani kasifiwa huyo?
Sio Kama unanyanyapaliwa mtumishi nchi yetu inaihitaji watu wenye rutuba Kama miminimama
Nyie wengine mliobakia tutawabadilisha na wanyarwanda Wale hata wasipokuwa na neema fil minyatu tutavumilia kidogo sura
Wacha nibaki hivi hiviKuwa chibonge tule kwa macho vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi niliweka mwanzoni mwa uzi ila kwa niaba yako best yangu nairudiaNawasalimia misukule wote wa bwana Mshana jamaa anatugeuza anavyojisikia tu,
miminimama nimekuona aisee bonge la zigo
Saint anne imebidi nikusave bado natafuta gukitambi gulipo
Hawachi umejikausha picha yako inatakiwa
Sakayo naona muguu upo, jana kasura kalinibariki sana
Ntarudi
Unanicheka?Ha ha ha!
Niambie..ikoje?Hii statement sometimes uwa naikubali sometimes naikataa
[emoji23][emoji23]
Sio me labda umeona sifa za scorpion meSi wewe
Umeshaanza na kumtag mshana shikilia hapohapo