Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Unanicheka?
Nimefurahi ulivyobadili matumizi niliyokupangia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanicheka?
Mwanajeshi sio kwa upande wa mahusiano hawafai kwa matumizi raha kuwaona na magwanda yao tu lkn ni makauzu hawana uromantic wowoteWanajeshi wako romantic, wanacare, sio wabahiri, wakweli na at the same time ni waongo waongo, wastaarabu ila hapa ni baadhi [emoji23]
Ila sasa ni viwembe noma mbaya [emoji23][emoji125]
Shukrani mkuu ubarikiweTobaa yarabii sijawahi kuona msichana mrembo kuliko wewe huyu Kama ni wewe ukipita wodi ya wagonjwa wa moyo waliolazwa ICU lazima biashara ya majeneza iuzike jinsi uso ulivyojaa neema
Amini nakwambia ni mimi huyo
[emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]viwembeWanajeshi wako romantic, wanacare, sio wabahiri, wakweli na at the same time ni waongo waongo, wastaarabu ila hapa ni baadhi [emoji23]
Ila sasa ni viwembe noma mbaya [emoji23][emoji125]
Ni Mimi huyo.
Watu tunachukuliana poa Sana humu jamani[emoji2][emoji2]
Weka tuonePicha umeichomoa fecebook niweke full
Hatimaye nimefanikiwa hiyo. (Camera yangu ya nyuma imepasuka ndo maana hiyo picha imetoka kama na ukungu hivi).Team utetezi
Hahaha full?Swali zurii, tuma full baba ntachambua mwenyewe nnavovitaka[emoji1] [emoji1]
Yoooo maaaweeee mshana komaa aisee mambo bado huku
hahahahahaEmu nithibitishie kwa kumkabidhi mwanafunzi 😛😂
Naogopa ban 😜Weka tuone
Yako sijabahatika kuiona ulifuta bestLione
Hakika
Weken zenu na nyinyi mjivuneHamna miminimama katumalizia maconfidence haiwezekani tako tu upana wote ule wakati wengine mtuno kuonekana ni mpk ujibinue hasa,,, tusivunjane
Sio kwa mshana naemjua hivi hamjiulizu tumo humu tunafanya nini, sasa subiri we mume wa pombe utakuwa mume wa mtu(miminimama)Mlevi harogeki
Jamani!Hatimaye nimefanikiwa hiyo. (Camera yangu ya nyuma imepasuka ndo maana hiyo picha imetoka kama na ukungu hivi).
Hiyo ni jana Zanzibar View attachment 1219921
Hakuna wa kukulima banNaogopa ban [emoji12]
Hatimaye nimefanikiwa hiyo. (Camera yangu ya nyuma imepasuka ndo maana hiyo picha imetoka kama na ukungu hivi).
Hiyo ni jana Zanzibar View attachment 1219921