Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dadekiiii huwa tunalaumu kuna limbwata ila ukwel nimejua hakunaga limbwata

Sasa nikihujumu nchi nikaiibia serikali au kampuni kisa hili zgo hata wafungwa na magereza si wataniona Mimi jemedari si lazima wanipongeze
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa mbona na wewe unafanya yale yale uliyotoka kuwakataza wenzio?? Hivi kweli unaruhusu dada yako nirudi hadi post ya 3000 kweli kwani hauku screenshoot hiyo picha yake??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ngoja nikutag
 
Back
Top Bottom