Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
😂😂🙌[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂🙌[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mie washanichosha na hivi nachelewa kuja, nakuta washafuta kitaambo!!Wengi tu wanafuta, hasa mademu
Hata Mimi nitajua haraka kisukumaBasi tukianza darsa huenda nitajua haraka sana tu
DeletedNdio ile ulikuwa unarudi nyumbani?
Wewe na Hanna hamna tofauti[emoji23][emoji23][emoji119]
Zangu ni OG lazima zidumu kwa muda mchache 😂
Naomba nilione studentMwl 🙈
Hata wewe kuna mahali nimeona umefutaMie washanichosha na hivi nachelewa kuja, nakuta washafuta kitaambo!!
Mbona siye wengine zetu zipo since day 1 jamani? Msitufanyie hivyo mtukoseshe viutamu..
AiseeWanawake wasiokuwa na waume.
Sawa mkuuSikai Arusha nilikwenda tu
Anayajua niliyemquoteMademu ndio manini?
Dk 3 linakujaNaomba nilione student
Haha,Hata wewe kuna mahali nimeona umefuta
Jana nilikatiza maeneo ya stand kubwa Arusha, kahawa ilikuwa inanukia balaa sema vikombe viduchu sana jamani[emoji23][emoji23] sahivi tumebaki na manyunyu kwahiyo hiyo pole yako inabidi ije na kikombe cha kahawa
Mmmh kweli?Haha,
Nilipost mkono mwanzoni kabisa, ndo sijapost tena wala sijafuta kitu!
Nakuona nakuonaSana ,tunachochea tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ni muaminifu sana, unaweza niachia hata pesa zako nikakutunzia!!Mmmh kweli?