Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
haha mbona wapenda mchomesha ticher mahindi lakini.Dk 3 linakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haha mbona wapenda mchomesha ticher mahindi lakini.Dk 3 linakuja
Nimekuja my kaka
Hivyo hivyo vinatosha. Ukipiga viwili burudaniiiJana nilikatiza maeneo ya stand kubwa Arusha, kahawa ilikuwa inanukia balaa sema vikombe viduchu sana jamani
Mimi kumi ndo vyanitoshaHivyo hivyo vinatosha. Ukipiga viwili burudaniii
Ziko wapi?Mie washanichosha na hivi nachelewa kuja, nakuta washafuta kitaambo!!
Mbona siye wengine zetu zipo since day 1 jamani? Msitufanyie hivyo mtukoseshe viutamu..
Pesa naweza nikakuachia ila shemeji yako siweziMimi ni muaminifu sana, unaweza niachia hata pesa zako nikakutunzia!!
Done 😂😂😂🏃🏃🏃haha mbona wapenda mchomesha ticher mahindi lakini.
Dah! Hapo sawaMimi ni mwanamke
Zishafutwa mpendwa.!!Ziko wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23] unaijua tofauti ya mwanamke na demu?Dah! Hapo sawa
Kwahiyo ulivyoniona hujatoshekaMbona umefuta sasa mimi nilitaka nikuone
Hilo ni suala la makubaliano! Kwanza je ni mfupi??Pesa naweza nikakuachia ila shemeji yako siwezi
Mademu ndio manini?
Weka na wewe basiWeka tena
Nimecheka sana Haki ya Nani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha huyo kazidi
Nawezaje kutosheka kukuona babe, nataka nikuone kila saa kila dakikaKwahiyo ulivyoniona hujatosheka
Ni mfupi hadi tukiwa tunasafiri halipi nauli, nambeba mgongoni kama mtotoHilo ni suala la makubaliano! Kwanza je ni mfupi??
Weka na wewe basi
Nilikuambia tuzae ili uwe unamwangalia mtoto ukaringaNawezaje kutosheka kukuona babe, nataka nikuone kila saa kila dakika
Kuzaa ni mpango wa Mungu babe, ukija tutajaribu tena kutafutaNilikuambia tuzae ili uwe unamwangalia mtoto ukaringa