Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona pmNitumie pm namm.. hutamwacha dogo ako ateseke... right?
Jamani 😂😂 kwani si ushaziona?
Nipo mtonii
Saa ngapi etiiSio kweli,nimekuona Raskazone
Wataka juu ama chini?Aimennnnn
Shaaaaaa!!! Ata sijafunga..Mbona pm
Si umefunga wewe pm
Mida hii ya saa 11Saa ngapi etii
Kabisa mdogo wanguDada, uchawi upo!
Sasa mbona siwaelewi tena..Hahhaa.!!.
Babe wako huyoo!
Mie waaala.!!
Juu banaWataka juu ama chini?
Aisee mimi pia nataka lakini nataka chiniWataka juu ama chini?
Usiposali utaweka yako na ya shem sasa hiviKabisa mdogo wangu
Unataka ugundue nini eti jamaniAisee mimi pia nataka lakini nataka chini
SawaUbonge ndo nataka niuone
Babe wako alivyo mkorofi hayo mie siyawezi kiukweli..Sasa mbona siwaelewi tena..
Kwani kua na wabebi wawili kuna chidaaa
Sio mimi jamaniMida hii ya saa 11
Si unajua tena fahari ya macho shemeji!Unataka ugundue nini eti jamani