and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Noma sana mkuu...Nipo nataka kuirudia hii hapa in
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana mkuu...Nipo nataka kuirudia hii hapa in
Hii ndio ile inatoaga mrenda kama bamiaView attachment 3067033
Msione Wazee wanaendelea kuzalisha wakiwa na miaka 85, Siri ipo hapa 😜🤗
Hello Sunday 🥂
😁😁🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁Mwanetu kaupiga mwingi humo mzee wa kufutaNoma sana mkuu...
Ukiwa tayari utaniambia nikulipeKhaaa Nkamu😂😂😂😂😂
Kwahiyo hii oda hutaki kabisa
Kweli umekaza
Sawa Nkamu 😍
Weekend nitafanya hivyo🔥🔥🔥
Hapana, hii iko kawaida tuHii ndio ile inatoaga mrenda kama bamia
😂😂😂😂😂😂😂Ukiwa tayari utaniambia nikulipe
Mtajijua wenyewe nilishasema sitaki hizo drama..Umepanic bure tu, nilishampa maelezo
Alafu punguza jazba na kupandisha mabega
KabisaUmepanic bure tu, nilishampa maelezo
Alafu punguza jazba na kupandisha mabega
Inaitwaje hii mkuu niitafute itanifaa jioni ya leoHapana, hii iko kawaida tu
Halafu sio chungu wala nini
Bado uko na panicMtajijua wenyewe nilishasema sitaki hizo drama..
Nkamu haki ungekuwa karibu ningekurukia kichwa.!!😂😂😂😂😂😂😂
Sawa Nkamu
Ila kuhusu hii nyingine inabidi tufungue na kuomba aisee
Mungu aachilie roho ya msamaha
Panic ya bure tu na mabega juuKabisa
Hili limeisha
Asipanic.
Sijapanic nilikuwa naclear hiyo kuniambia mi muhusika wa cakeKabisa
Hili limeisha
Asipanic.
Yaani hata mitama nikate tu Nkamu ila Bwana wa majeshi anafanya njia tena😂😂😂Nkamu haki ungekuwa karibu ningekurukia kichwa.!!
Au umeamua kunikwaza leo?? 😂😂😂
Kwani Kuna mtu amekula nauli yako??Inaitwaje hii mkuu niitafute itanifaa jioni ya leo
Unarudia tena.!Bado uko na panic
Tulia relax, pia usipandishe sana mabega maana tumeshazungumza sana hili na jana tumezungumza.
Mhusika bado hajatajwaSijapanic nilikuwa naclear hiyo kuniambia mi muhusika wa cake
Nyie ndo mnafanya watu wajiunge Alshabab ili wawalipue Mxieeeeww 😂😂😂Yaani hata mitama nikate tu Nkamu ila Bwana wa majeshi anafanya njia tena😂😂😂
Sema Amina