Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Sasa kama nimefiwa ndio sitakiwi kisafisha machoSiumefiwa wewe?😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama nimefiwa ndio sitakiwi kisafisha machoSiumefiwa wewe?😂
Upo wapi kati ya maeneo hayaMimi nipo kijiji cha mbali sana na hapo
Twende ukachague mwenyewe leo 😊Nimechelewa au uliniwekea??☺️
Hope urassa mambo msalimie Fake P mwambie naupenda sana mguu wake wa bia
Fake P njoo thbitisha hii kauli ya kaka bonge
Watoto wadogo Hawa wasumbufu sana achana nao my wangu 😎😎😥😥 Niliwakataza kunishtua mnataka mniue na presha ndio kufurahi? 😥😥
Anayenisifia mguu muongo . Bora angesifia Tumbo😏
NewalaUpo wapi kati ya maeneo haya
Kiwawa
Kiwalala
Kilangala
Mashallah 😎 fat girl kutoka kusini mwa jangwa la lindi upo mtaani kwangu hapo Kuna nyumba yangu hapoNewala
Hey hey 👋🏾Hello Lizzy
Naomba nikakae, wewe si upo dar🙄Kuna nyumba yangu hapo
Come staiHey hey 👋🏾
Nimepangisha imejaa ila Kuna chumba spesho kwa ajili yako mwanetu 😎😎😎😎Naomba nikakae, wewe si upo dar🙄
Nisaidie, hapa kodi inaishaNimepangisha imejaa ila Kuna chumba spesho kwa ajili yako mwanetu 😎😎😎😎
Nisaidie, hapa kodi inaisha
Usiwaze msaada ushapataNisaidie, hapa kodi inaisha
Nimeweka link hapo mwanangu safisha macho u enjoy washa vpn hapa mwanao natumia wifi no dey vpn 😎😎😎😎Naomba nikakae, wewe si upo dar🙄
Nimeweka link hapo mwanangu safisha macho u enjoy washa vpn hapa mwanao natumia wifi no dey vpn 😎😎😎😎
Imefunguka ? 😎😎😎 Ukikwama nambie nitume nyingineAsante
Mwanaume unakulaje chips? 😹😹😹Lamomy karibu tuleView attachment 3078387
NitakuambiaImefungika ? 😎😎😎 Ukikwama nambie nitume nyingine