Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We dada sijui kwanini unapenda ugonvi humu JF au nawe ni jini kama min -me au? Eti we Jina Makata min -me huyu binti ndio Jini Maimuna nini? Kwanini anapenda bifu kila wakati huku JF?
Ehhh!! 😹😹😹
Wanaonichokoza huwaoni??
Okay, mi makata tena nakata mbele na nyuma km msumeno yanii.!!
 
Jaribu kuwa mtulivu mkuu. Samehe, shau, puuzia na maisha yaendelee. Usipende ugomvi, we mtoto wa kike utakosa mme huku. Usiwe kama kaka yako min -me
Tatizo nikitulia wananitafuta wenyewe, ila ss hivi sijagombana mbona mkuu…
Mi nakazia tyuu.!! 😹😹😹
 
Ehhh!! [emoji81][emoji81][emoji81]
Wanaonichokoza huwaoni??
Okay, mi makata tena nakata mbele na nyuma km msumeno yanii.!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah.
 
Baba tamu? [emoji23]
Afu huwez amini, Ba tamu tuna mwaka 1 wa kufahamiana na urafiki, na miaka 2 ya mahusiano.

Jumla miaka 3, na tumepima zaidi ya mara 5, ndo tukaanza kuzagamuanaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom