Lady ammy
Member
- Sep 10, 2024
- 87
- 175
Unataka kumsuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kumsuka?
Ndiyo. Ila mbishi huyo 😀.Unataka kumsuka?
Asante Baby nataka nikumilikishe hii jamiiforums kisha wakina Bantu Lady watafute pakwenda😍
Mchukue mpeleke saloon
Napenda mtoto abanwe hivyo, anyway mnaweza kumsuka mabutu makubwa, ya njia mbili. Pia anaweza sukwa vibutu vidogo vidogo akabanwa, viwili kila pande vikaachiwa kwa mbele. Au akasukwa kawaida style ya kitoto bila kuzikaza nywele sana.
😅😅😅aKuna auntie wa taifa atakuja kutoa mwongozo... studio tafadhali tuletee Kapeace
😅😅😅a
Kama mtoto hapendi kushikwa shikwa kichwani awe anambana tu hivyo au amnyoe kuliko kumsuka, mi mwnyw nywele zinaniumaga sana sema ndo hivyo nakomaa kibishi na kusuka
Napenda mtoto abanwe hivyo, anyway mnaweza kumsuka mabutu makubwa, ya njia mbili. Pia anaweza sukwa vibutu vidogo vidogo akabanwa, viwili kila pande vikaachiwa kwa mbele. Au akasukwa kawaida style ya kitoto bila kuzikaza nywele sana.
Mbona siku njema ya haraka hivyo unaenda wapi kwenye vikao vya wastaafu?😅😅Sasa mtoto mwenyewe si unaona unywele umegraduate? Hautakiwi kuupaka chochote ili hata kama anazibana ziendelee kuwa laini ?
Najua Nyani Ngabu yeye mtaalamu wa kufunga udevu, ameuwekea bajet matata, ukimpa mwongozo wa mafuta au chochote kinachohusu matunzo ya nywele za binti, itafaa pia
Shukrani Kwa maelezo mazuri ya awali. Siku njema.
Ndo❌😅😅😅a
Kama mtoto hapendi kushikwa shikwa kichwani awe anambana tu hivyo au amnyoe kuliko kumsuka, mi mwnyw nywele zinaniumaga sana sema ndo hivyo nakomaa kibishi na kusuka
Kumbe wewe ni professional wa styleNapenda mtoto abanwe hivyo, anyway mnaweza kumsuka mabutu makubwa, ya njia mbili. Pia anaweza sukwa vibutu vidogo vidogo akabanwa, viwili kila pande vikaachiwa kwa mbele. Au akasukwa kawaida style ya kitoto bila kuzikaza nywele sana.
Napenda tu mambo ya urembo, naambiwa toka mtoto. Naona nawewe unaanza rusha roho 🤣🤣🤣🤣🤣 hairushiki muone kwanza.Kumbe wewe ni professional wa style
Yeah, napenda pia kuvaa na utanashati huwezi kunitoa sehemu mpaka nipendeze.Napenda tu mambo ya urembo, naambiwa toka mtoto. Naona nawewe unaanza rusha roho 🤣🤣🤣🤣🤣 hairushiki muone kwanza.
Okay, halafu umeona nimemsifia babe wangu yuko gentleman. Ukabadili na Avatar ukaiweka ya mfanano huo 😝😝😝😝😝😆Yeah, napenda pia kuvaa na utanashati huwezi kunitoa sehemu mpaka nipendeze.
Baby Madame B ukiamka unywe chai taratibu usije ukaunguaNapenda tu mambo ya urembo, naambiwa toka mtoto. Naona nawewe unaanza rusha roho 🤣🤣🤣🤣🤣 hairushiki muone kwanza.
Acha useng* basiNdo❌
Ndiyo ✅
Mi❌
Mimi✅
Mwnyw❌
Mwenyewe✅
Ukikua utaacha 😅😅😅😅 bado hujakubali matokeo. Utakimbia huu uzi haya 😉Baby Madame B ukiamka unywe chai taratibu usije ukaungua
Baby wako jana amekuambia usiku mwema au ndiyo tukupumzisheOkay, halafu umeona nimemsifia babe wangu yuko gentleman. Ukabadili na Avatar ukaiweka ya mfanano huo 😝😝😝😝😝😆
Ok, samahaniAcha useng* basi