Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ngoja niangalieBado Kwani bado ipo? 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niangalieBado Kwani bado ipo? 🤣🤣
Children for lifeSawa ila kazeeka 😹😹😹
Ufipa 😹😹basi njoo wewe huku unyumbuni...😅
Tusubiri wamalize kuandikishaMimi mpk anilipe kwanza ndio tuelewane 😹😹
Yaani uzi ulikuwa unavutiaenzi hizo ilikuwa unakaa kazini kwa watu huku unafikiria utakuta nini cha kufurahisha humu threadini..!!
😹😹😹 Subiri aje kwa kishindoChildren for life
Aluta continua Auntie🔥
😁😁 badala muweke picha nyie umbea tu kuoga aaaah!..🤣Ufipa 😹😹
Aanze na Samsung kwanza 😹😹Ili apindue meza lazima ajiupgrade kwenda kwenye iPhone au hata Pixel
Hatutaki mnapigia nyeto pics zetu tunashangaa mambo hayaendi kumbe huko mshatutia nuksi 🤣😹😹😹😁😁 badala muweke picha nyie umbea tu kuoga aaaah!..🤣
acha masihara! kuna watu wanafanya hivyo..?🤣Hatutaki mnapigia nyeto pics zetu tunashangaa mambo hayaendi kumbe huko mshatutia nuksi 🤣😹😹😹
Naona akina Auntie wanaofundisha vijijini Wana afadhaliIla waalimu wa nchi hii wanateseka sana 😹😹
Wajukuu wanasema wanaogopa kupata kesi ya mauji iwapo nitakuwa nimesahau dawa zangu za Presha 😜😍😍😍 babu huyo
Li babu lihanchamu 😘😘
Haya kina bibi uwanja wenu, babu kakidhi vigezo vyote… nakala iwafikie masuria wote wa babu 😹😹😹🤣
Ilikua poa sana mpaka pale antonnia na depal walipoanza kupigana vikumbo ndio matatizo yakaanza😂Yaani uzi ulikuwa unavutia
Selfika was a beautiful place to be
🤣🤣🤣 khaaaa.!!Wajukuu wanasema wanaogopa kupata kesi ya mauji iwapo nitakuwa nimesahau dawa zangu za Presha 😜
Kwema kiongozi?Ilikua poa sana mpaka pale antonnia na depal walipoanza kupigana vikumbo ndio matatizo yakaanza😂
😹😹😹 ko aunt kapita nazo?Hee
Ipo hiyo?
Ukute net zile za msaada zimeanza kushonwa na watu hawasemi😁
Kuna ile ya lipsi ya majuzikatiHatutaki mnapigia nyeto pics zetu tunashangaa mambo hayaendi kumbe huko mshatutia nuksi 🤣😹😹😹