Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lamomy si utuwekee self hapa tuone ubishi uishe?

Tuendelee kuselfika wakuu kama kawaida.😊
Kwanza kabisa kwenye watu wengi lazima watu wawe tofauti, hii ni nature. Japo inawezekana kutokua hivyo kila mara ni uamuzi

Pili kuhusu mtu kupigwa majungu mi nadhani hizi ni hisia ambazo mtu anaamua kuwa nazo. Unaweza kuassume sio wewe na mambo yakaenda tu, sababu pengine hao wanapiga story zao ambazo hazimhusu yoyote humu. Walisema "shangazi" hivi au vile how sure wanakua wanamaanisha yule unamfikiria?

Kuhusu kuselfika, labda umeingia hivi karibuni. Humu wengi zamani akiwemo huyo lamomy walishaselfika sana sana japo haizuii kuendelea kuselfika au kuweka picha zozote.

Btw ushauri wako mzuri pia
 
Kwanza kabisa kwenye watu wengi lazima watu wawe tofauti, hii ni nature. Japo inawezekana kutokua hivyo kila mara ni uamuzi

Pili kuhusu mtu kupigwa majungu mi nadhani hizi ni hisia ambazo mtu anaamua kuwa nazo. Unaweza kuassume sio wewe na mambo yakaenda tu, sababu pengine hao wanapiga story zao ambazo hazimhusu yoyote humu. Walisema "shangazi" hivi au vile how sure wanakua wanamaanisha yule unamfikiria?

Kuhusu kuselfika, labda umeingia hivi karibuni. Humu wengi zamani akiwemo huyo lamomy walishaselfika sana sana japo haizuii kuendelea kuselfika au kuweka picha zozote.

Btw ushauri wako mzuri pia
Tatizo yeye anataka kumuona Lamomy sijui anataka agundue nini? 😹😹😹

Atafute comments zangu mbona pics zipo nyingi sijafuta
 
Kwani mimi nabishana na Nani?
Na pic yangu wewe itakusaidia nini kwenye maisha yako ya kawaida achilia hapa JF??

Ukiselfika wewe inatosha, punguza shobo.
Tatizo kubwa kwenye hii post watu wana makasiriko ya bure tu. Wala hakuna ulazima wa mtu kuselfika, mtu anaweza kuamua kuwa muangaliaji au kuwa mchangiaji kwa wale walioselfika

Pia story mbili tatu kuwepo sio mbaya, zitakua zinawekwa picha tu bila hata story kidogo? Watu waache makasiriko
 
Tatizo kubwa kwenye hii post watu wana makasiriko ya bure tu. Wala hakuna ulazima wa mtu kuselfika, mtu anaweza kuamua kuwa muangaliaji au kuwa mchangiaji kwa wale walioselfika

Pia story mbili tatu kuwepo sio mbaya, zitakua zinawekwa picha tu bila hata story kidogo? Watu waache makasiriko
Nimewaambia hii ni km timu ya mpira sio wote wachezaji, wengine sisi ni washangiliaji..!!

Wao watupie tuwasifie simple tyuu.!!
Hata kwenye makumbusho kuna picha na story zao hao wenye picha..!
 
Haiwezi kunisaidia chochote,Ni accusation zimeeleza huweki picha ni maneno matupu.
Nikushobokee ili iweje?
Ndio utulie sasa, ukiona vipi selfika wewe simple tu wala hutumii nguvu.
Hii ya kujifanya unataka niselfike sio kazi yako kuniambia
 
Kwanza kabisa kwenye watu wengi lazima watu wawe tofauti, hii ni nature. Japo inawezekana kutokua hivyo kila mara ni uamuzi

Pili kuhusu mtu kupigwa majungu mi nadhani hizi ni hisia ambazo mtu anaamua kuwa nazo. Unaweza kuassume sio wewe na mambo yakaenda tu, sababu pengine hao wanapiga story zao ambazo hazimhusu yoyote humu. Walisema "shangazi" hivi au vile how sure wanakua wanamaanisha yule unamfikiria?

Kuhusu kuselfika, labda umeingia hivi karibuni. Humu wengi zamani akiwemo huyo lamomy walishaselfika sana sana japo haizuii kuendelea kuselfika au kuweka picha zozote.

Btw ushauri wako mzuri pia
ni sahihi mkuu. Mimi huu uzi sijaanza kuufatilia muda mrefu pengine ziliwekwa huko zamani, Hakuna ulazima hata hivo.
 
Ndio utulie sasa, ukiona vipi selfika wewe simple tu wala hutumii nguvu.
Hii ya kujifanya unataka niselfike sio kazi yako kuniambia
Unajua watu wanaumia bure na vitu ambvyo hata mtu haviishi in real life. Wangekua wanaingia huku just for burudani wala haya yote wasingeumia nayo
 
Msiiweke jf kama sehemu ya maisha yenu halisi, hutaumia na lolote. Sasa kweli mm mfano nianze kulalamika kwa nini wewe au fulani hajaweka picha si unakua utoto huo
Kweli uache kufanya mambo ya maana huko uje kulia mtu hataki kuweka picha?

Ngoja nimsaidie kuweka, hiyo hapo
IMG-20240909-WA0003.jpg
 
Msiiweke jf kama sehemu ya maisha yenu halisi, hutaumia na lolote. Sasa kweli mm mfano nianze kulalamika kwa nini wewe au fulani hajaweka picha si unakua utoto huo
Kweli uache kufanya mambo ya maana huko uje kulia mtu hataki kuweka picha?

Ngoja nisaidie kuweka, hiyo hapo
View attachment 3125931
Ss hivi watu sukari zitapanda hapa 😹😹😹
 
Wewe bana mi Sina wa kumfatilia Ila nikiona chakula kipya nitaomba recipe, nikiona picha lazima nitoe maoni 😹😹😹
 
Wewe bana mi Sina wa kumfatilia Ila nikiona chakula kipya nitaomba recipe, nikiona picha lazima nitoe maoni 😹😹😹
Kuna vitu aisee, kwa hiyo watu wakiweka picha hata maoni hutakiwi kutoa? Hata North Korea hawaishi hivi

Wewe kuwa huru kutoa maoni na kuandika kile ambacho unapenda as long as hutumii lugha ya matusi wala lugha mbaya
 
Kuna vitu aisee, kwa hiyo watu wakiweka picha hata maoni hutakiwi kutoa? Hata North Korea hawaishi hivi

Wewe kuwa huru kutoa maoni na kuandika kile ambacho unapenda as long as hutumii lugha ya matusi wala lugha mbaya
Eti jamani 😹😹
Sasa watajuaje km wamedamshi 🤣🤣
Em watuache wachangiaji tusifie uumbaji wa Mungu bana weeh.!!
 
Back
Top Bottom