Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Maoni lazima yatolewe, jf bila moani sio jf hiyo aseeEti jamani 😹😹
Sasa watajuaje km wamedamshi 🤣🤣
Em watuache wachangiaji tusifie uumbaji wa Mungu bana weeh.!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maoni lazima yatolewe, jf bila moani sio jf hiyo aseeEti jamani 😹😹
Sasa watajuaje km wamedamshi 🤣🤣
Em watuache wachangiaji tusifie uumbaji wa Mungu bana weeh.!!
Hongera Mkuu, you have been blessed with a very nice daughter
Hongera Mkuu, you have been blessed with a very nice daughter
Wanasema mtoto wa kike ni rafiki wa Baba[emoji109]
Siku nikifanikiwa kupata mtoto wa kike kwenye Uzao wangu, lazima ninunue Mbwa mkali kwaajili ya kuimarisha Ulinzi nyumbani
Sitaki akina Kapachino na wenzake akina Half american hata wamsogelee [emoji847]
Malezi ya watoto Kwa maisha ya sasa ni changamoto sanaMkuze mwanao katika maadili mema inatosha. Hujawahi ona wale watoto wanafichwa fichwa ila siku wakipata upenyo wanarudi na matatizo nyumbani? Hamna haja ya mbwa.
Hapa jirani yangu kuna mama alikua anamficha sana binti yake sasa hivi ana watoto wawili na wote kazalia home hata kidato cha nne tu hakufanikiwa kumaliza.
karembo kenyewe
Hicho ni Kiwanja kizuri Kwa Vijana, japo Wazee wametunyima ruhusa kuingia hapo eti wanasema tutavunjika shingo Kwa kuangalia mizigo 🙌Bekaa Valley-Lebanon.View attachment 3126886
Mkuu umri umeenda ila bado unaona vzr saana.Hicho ni Kiwanja kizuri Kwa Vijana, japo Wazee wametunyima ruhusa kuingia hapo eti wanasema tutavunjika shingo Kwa kuangalia mizigo 🙌
Btw, nisaidieni kumwambia waiter ampelekee vinywaji yule binti mwenye brauzi ya pinki kwa Bill yangu 🤗
HelloHahaha, umenikumbusha mbali Sana, those were the days 😊😊
Enzi za ujana wetu mabinti wa sampuli hiyo ,walikuwa na usemi wao.'Hapendwi mtu ,linapendwa pochi'Hicho ni Kiwanja kizuri Kwa Vijana, japo Wazee wametunyima ruhusa kuingia hapo eti wanasema tutavunjika shingo Kwa kuangalia mizigo 🙌
Btw, nisaidieni kumwambia waiter ampelekee vinywaji yule binti mwenye brauzi ya pinki kwa Bill yangu 🤗
😂😂😂😂😂Hongera Mkuu, you have been blessed with a very nice daughter
Wanasema mtoto wa kike ni rafiki wa Baba👊
Siku nikifanikiwa kupata mtoto wa kike kwenye Uzao wangu, lazima ninunue Mbwa mkali kwaajili ya kuimarisha Ulinzi nyumbani
Sitaki akina Kapachino na wenzake akina Half american hata wamsogelee 🤗
Umefanya nianze kukesha Church nikila Sakramenti ya kitubio😂😂😂😂😂
Umeshafanya sala ya toba, ili either maybe uliyo yafanya Kwa Bibi zetu yasijirudie kwenye uzazi wetu?
Mimi naogopa sanaa.
Hatari sana Mkuu 🤗Enzi za ujana wetu mabinti wa sampuli hiyo ,walikuwa na usemi wao.'Hapendwi mtu ,linapendwa pochi'
Yaani nikivaa miwani, Kuna baadhi ya sampuli naziona vizuri sana hata zikiwa mita 500 😜Mkuu umri umeenda ila bado unaona vzr saana.
Helo helloHellow Tayanna
Dogo mbishi sana😂😂karembo kenyewe