Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siamini.Jamani!!!
Makubwaaaa!!!!
Haya, mimi ni huyu hapa chini,hapa ilikuwa juzi Mlimani City kwenye sendoff ya mwanangu Atoto
View attachment 3127893
Mtt wa kishua nakuona😄
🤣🤣Jamani!!!
Makubwaaaa!!!!
Haya, mimi ni huyu hapa chini,hapa ilikuwa juzi Mlimani City kwenye sendoff ya mwanangu Atoto
View attachment 3127893
Sasa mbona hueleweki?Siamini.
Sawasawa🤣🤣Tuna jambo letu jumamosi
Kataka picha nimempa, bado haamini😎
Haiwezekani uwe mbovu hivyo kama kiazi mbatata.Sasa mbona hueleweki?
Umetaka picha yangu, nimekupatia....na bado unasema huamini.
Haya, hebu nipe yako-ya kwangu unayoijua👀
Ndio mimi, usiangalie sura, angalia mashine.Haiwezekani uwe mbovu hivyo kama kiazi mbatata.
Mama ulipendeza "kweri kweri".Jamani!!!
Makubwaaaa!!!!
Haya, mimi ni huyu hapa chini,hapa ilikuwa juzi Mlimani City kwenye sendoff ya mwanangu Atoto
View attachment 3127893
"Azante" mwanangu wa pekee💕Mama ulipendeza "kweri kweri".
Nitafanya hivyo Mjukuu, jiandae kutuzwa na Babu yakoSio mimi, lakini siku nyingine umtume kijana basi nisije nikakosa kutuzwa! 😔
Alafu ukija tena mshtue yule mama wa mishkaki karibu na stage, aniite 🙂
🤣Ndio mimi, usiangalie sura, angalia mashine.
Body lisikudaganye....engine ndio kila kitu.
😂😂😂😂Ndio mimi, usiangalie sura, angalia mashine.
Body lisikudaganye....engine ndio kila kitu.
Mkuu hapo ni viwanja vya kinyerezi near kinyerez park.Football is a good game
Good game indeed
Hapa ndio zamani palikuwa panaitwq samak samaki? Kuna maua mazuri saana apoView attachment 3127998
Ngoja tuwahi kutoka kabla Vijana hawajaanza kutufanyia fujo Wazee wao 😜
Hello Thursday 🥂
Picha tunayo na tunatamba nayo.😂😂😂Jamani!!!
Makubwaaaa!!!!
Haya, mimi ni huyu hapa chini,hapa ilikuwa juzi Mlimani City kwenye sendoff ya mwanangu Atoto
View attachment 3127893
Ntakula chuma mbili