Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Safi mkuuu. Uwe unaweka summary kidogo humu. Kuwasaidia wenye alreagy yakusoma Kama wakina Aaliyyah
Hahaha..........nitajitahidi kufanya hivyo next time, lakini Kwa summary. Mtunzi anatuasa kujenga tabia ya kuwekeza, iwe kwenye real estate ama vyovyote ili ku-generate personal income na kuwa financial Stable katika nyakati zetu za Uzee.

Last time niliulizwa na Vijana wangu swali lililoniboa, kwamba kwanini sikuwa na makazi Masaki

Ndiyo kisa cha kuwanunulia hicho Kitabu ili kujibia swali lao
 
Hahaha..........nitajitahidi kufanya hivyo next time, lakini Kwa summary. Mtunzi anatuasa kujenga tabia ya kuwekeza, iwe kwenye real estate ama vyovyote ili ku-generate personal income na kuwa financial Stable katika nyakati zetu za Uzee.

Last time niliulizwa na Vijana wangu swali lililoniboa, kwamba kwanini sikuwa na makazi Masaki

Ndiyo kisa cha kuwanunulia hicho Kitabu ili kujibia swali lao
Safi saana mkuu.
Kimsimgi uwekezaji kwenye real estate ni WA uhakika na huwa haushuki thamani. Vile vile hauna Ile pressure ya usimamizi.

Umri ukishaenda, inakuwa unavuta pesa kiulaini tuu za Ku spend na watoto WA 2020
 
Safi saana mkuu.
Kimsimgi uwekezaji kwenye real estate ni WA uhakika na huwa haushuki thamani. Vile vile hauna Ile pressure ya usimamizi.

Umri ukishaenda, inakuwa unavuta pesa kiulaini tuu za Ku spend na watoto WA 2020
Hao wa 2020 ndiyo watakuwa na nafuu kuliko wale wa 2000, maana Sina hamu nao wale 😜
 
Tuanze kuikaribisha weekend
20241024_135204.jpg
 
Back
Top Bottom