Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ila sina ujasiri wakutembea nacho hadharaniKazi mnayo, hivyo vinjunga kwakweli mnajitahidi.!! 😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila sina ujasiri wakutembea nacho hadharaniKazi mnayo, hivyo vinjunga kwakweli mnajitahidi.!! 😹
Safi sana huyu ndio roli modo wangu ,ni vikombe tu tena sebuleni.Nimetulia zangu tu hapa kijana.
View attachment 3197649
Kijana wa ngarenalo uyo arusha si unajua hakunaga mnyongeAna pozi yule hawezi 😹
We mshamba_hachekwi tupia bas totoo
Au sio acheni bia vitambi havitaisha wine zipo goodSafi sana huyu ndio roli modo wangu ,ni vikombe tu tena sebuleni.
ntakuja huko dar kuwasalimia mtanifahamu vizuri kabisaAna pozi yule hawezi 😹
We mshamba_hachekwi tupia bas totoo
Safi kabisaNimetulia zangu tu hapa kijana.
View attachment 3197649
Sema kinjungaSio kila siku kuvaa suruali ndefu mda mwingine vaa pensi miguu ipitie hewa min -me Zulu man De Opera MENEMENE TEKERI NA PERESI mshamba_hachekwi Half american View attachment 3197637
Ni humu tu mangi😅Ukimaliza izo utembei we mchaga na kwambia 😂😂
Kula bia tizi kwa sana no kitambi😁😁Lite with bite 😋
Unakula vitu hauna stress za kupigwa na chupa😁Safi sana huyu ndio roli modo wangu ,ni vikombe tu tena sebuleni.
Sure bro😁Safi kabisa
Mkuu umekariri piga zaoezi kula pombeAu sio acheni bia vitambi havitaisha wine zipo good
Ahhaha mbele kuna mtaro wa maji ya kufikia magotini 😂Sema kinjunga
Nawajua ninyi mna amkia bar 😂Ni humu tu mangi😅
Ila mm pombe naona imenikataa kabisa nikinywa kichwa kinaumaMkuu umekariri piga zaoezi kula pombe
Bar ipo ndani mkuu , sijawahi kutoka kulewa🤣🤣Nawajua ninyi mna amkia bar 😂
Yesu typng hela embu edit hapo ulipo qouteMaji ya kufanyaje vile?
Karibu sana, tukuandalie kinjunga cha rangi gani? Si unajua dar joto kali 😹ntakuja huko dar kuwasalimia mtanifahamu vizuri kabisa