Selim bin Abakari, mtu mweusi wa kwanza kufika Siberia Watu wa kule wakadhani ni Mungu

Masai ameanza kutengeneza vitu vyake lini?
Matairi anayovaa...migolole hadi shanga wananunua
Umeona matairi tu !! Jaribu kwenda Ngorongoro unakone wako unique ebu tafuta mzungu au mtu wa nje muulize kuhusu kabila gani kubwa Tz .
 
Hebu wela link ya hicho kitabu cha safar za wasuaheli.
 
Jambo jema alikutana na mkoloni asiye mchoyo.
Ingekuwa mkolon wa jangwani nani angemruhusu hiyo mikato?
Kwanza angehasiwa na kuvaa kitumwa.
Acheni mzungu aitwe mzungu
Brainwashed Hadi huruma
 

Attachments

Tunaomba soft copy
 
Kinapatikaneje hicho mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…