drugdealer
Senior Member
- Nov 8, 2024
- 133
- 245
- Thread starter
- #21
mbona zote kali hizi mzee khaaa kweli hii nyundo inajuaDie
nishachoka
Wote
vibaya
single again
furaha
Inama
Kwangwaru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona zote kali hizi mzee khaaa kweli hii nyundo inajuaDie
nishachoka
Wote
vibaya
single again
furaha
Inama
Kwangwaru
mhimu melody kali ausioLakini soko ndilo linaloamua na msanii ana uhuru wa kubana pua, mashabiki wakioenda ndiyo inakuwa style yake hiyo.
Watu wametumia mpaka autotune na zimewatoa na kuna watu wamependa, itakuwa kubana pua tu?
Culture evolves.
iyo ulo quote inaitwa wote mkuuNitaubeba-hii ngoma napendaga sana kuisikiliza na siichoki
"ukiondoka nitabaki na nani,na nikiondoka utabaki na nani"
Wapo-huu napendaga sana kuutazama na kuusikiliza,video yake huwa inanikosha sana,nashindwa hata kuelewa iliwezekanaje na basata hawakuigusa
Kuna hii inaitwa wenyewe huyu mjinga hapa aliuwa,cha ajabu haikuhit sana
Kuna hii ..... mwenyewe.... nyingine "furaha:Tupia nawewe yako ngoma kali unayoikubali ya mmakonde
mwenyewe ndyo ipi iyo mbona siijui hii afu guys mnai-appriciate kiasi emu ngoja niisikilizeKuna hii ..... mwenyewe.... nyingine "furaha:
Unaweza kuwa na melody kali lakini wimbo unavyoanza mtu akafikiri anasikikiza classical music, baadaye akachanganywa kwenye amapiano, na kuishia kwenye mnanda, kwa namna ambayo haieleweki.mhimu melody kali ausio
Hii mwenyewe kuna verse sijui chorus anasema " basi kamata chupa fungua na mimina eeeeh, lewa tukuone unavyocheza kichina"mwenyewe ndyo ipi iyo mbona siijui hii afu guys mnai-appriciate kiasi emu ngoja niisikilize
hii nimeipata hahahhah kali hiiii biti na melody vime-match kabsaaaaa huyu msenge anajuaHii mwenyewe kuna verse sijui chorus anasema " basi kamata chupa fungua na mimina eeeeh, lewa tukuone unavyocheza kichina"
Kwingine anasema " tajiri na wanae masikini na mali zake, asiye na shida nawe muache aende zake:"
Sema Harmo akiacha bangi atakuwa mkali sana😁😁
Kaisikilize sasa
Kuna NGOMA TUNDAMAN kaimba na HARMO_ BADMAN (MTU MBADI).Mmakonde anaachia ngoma fulani tamu sana. Ngoma kadhaa nimesikiliza na kuzipenda.
Mama
Wote
Tena
Zanzibar
Fall in love
Unanimaliza ft blue
Kuna ile kwenye uzinduzi Kikwete akaomba irudiwe.
Ameloa
Kuna mbili anazungumzia kutoka kwao moja anataja chitoholi, nyingine sina stamina wapo kwenye video.
Juzi nimesikia kakipande, kitu kama furaha yangu ni wewe.
Kuna ile kama mnanda fulani hivi.
Verse alizoimba kwenye ngoma ya ibra nyimbo sikumbuki, vixen ni giggy money,
Ngoma alishirikishwa na mario,
Na kuna ngoma alishirikishwa na mkenya simjui jina.
Kuna moja kamuimbia sijuk ni wolper sijui yupi, kamix na kimakonde
Mjomba nchumali muandishi mzuri sana, ila mawenge mnoo 😂🤣
Bila Bangi hawezi kupata mzuka energy ya kutoa madude makali makali Kama haya.Hii mwenyewe kuna verse sijui chorus anasema " basi kamata chupa fungua na mimina eeeeh, lewa tukuone unavyocheza kichina"
Kwingine anasema " tajiri na wanae masikini na mali zake, asiye na shida nawe muache aende zake:"
Sema Harmo akiacha bangi atakuwa mkali sana😁😁
Kaisikilize sasa
Hata ingekuwa wewe, yule harmonize "wa malaika" we ungempitisha?Kwani Master J anasemaje? Huyu si mbana pua?
kuna ile verse yake nyingine ndyo balaa tupuKuna NGOMA TUNDAMAN kaimba na HARMO_ BADMAN (MTU MBADI).
huu wimbo napenda kusikiliza Sana verse ya harmonizer..
Verse.
Ukienda kwa mganga ukitaja jina langu utaambiwa nimekufa / nimezikwa wewe weka matanga...Na utakula kitakacho pikwa.
Ingetegemea nilivyoamka siku hiyo.Hata ingekuwa wewe, yule harmonize "wa malaika" we ungempitisha?
Napenda Sana hii verse yake Sana sanakuna ile verse yake nyingine ndyo balaa tupu
''siku zote tembo waga mpole nimeshapita hadi tundu la sindano ''
anajuaNapenda Sana hii verse yake Sana sana
google lyrics usomeSuna bundle hebu iandike hiyo nyimbo nisome mashairi
Yamkini lengo mojawapo la kazi ya fasihi, kuelimisha na au kuburudisha, halifanikiwi "ipaswavyo".Niliuliza hilo swali kwenye thread ya beef ya Master J na Ali Kiba, lakini mpaka sasa sijapata jibu.