Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
Shida yao wanatumia madude hadi kwenye show mwisho wa siku wanafanya show mbovu😔🙌Bila Bangi hawezi kupata mzuka energy ya kutoa madude makali makali Kama haya.
Wasanii wengi hutumia vilevi kusisimua akili na kutoa madude konki.
"Wote" ni bonge la ngoma, one of the best. Imagine angekuja kumuoa Feza.anajua msenge huyu sio wakumbeza kwenye wote kiitikio kaua alafu na ile yupo na marioo naogopa khaaaa balaa tupu
hawaolewi hao"Wote" ni bonge la ngoma, one of the best. Imagine angekuja kumuoa Feza.
Sikuwahi kuizingatia, ila harmonize kwenye uandishi na melody katulia mnoooKuna NGOMA TUNDAMAN kaimba na HARMO_ BADMAN (MTU MBADI).
huu wimbo napenda kusikiliza Sana verse ya harmonizer..
Verse.
Ukienda kwa mganga ukitaja jina langu utaambiwa nimekufa / nimezikwa wewe weka matanga...Na utakula kitakacho pikwa.
Sisi tulisha penya Hadi.. TUNDU la sindano..lengo kutimiza ndoto na sio mashindano...
Nakuunga Mkono, ngoma nyingi sana za harminize zina mistari mikali, melody nzuri ila biti unaiona ipo ipo tu si kali si mbaya.Mkuu,
Nilikuwa nafikiri hivihivi lakini nikaona ngoja nikae kimya nisije kuambiwa nina bias.
Lakini, kwa sababu wewe umelianzisha hili, nataka kukuunga mkono.
Na kabla sijashambuliwa na mashabiki, this has got nothing yo do with talent.
Mimi naona kuna mambo ya management, exposure na mixing/arrangement ya muziki zaidi kuliko talent ya msanii.
Ujue wenzetu ndiyo maana wana watu wengi sana sana utaambiwa huyu producer, huyu mixer, huyu sound engineer, huyu arranger, halafu sisi tunachukulia poa mtu mmoja anaweza kufanya kazi zote hizo.
Yani unaweza kupiga ala zote sawa, ukaimba sawa, kashehe ikaja kwenye mixing and arranging chombo gani kianze, wapi chombo gani kiwe muted wapi, flow ya wimbo iendeje, bridge ikae wapi, chorus ikae wapi, harmony ikae wapi. Identity ya wimbo ijulikane kwa chombo kipi.
Hapo panahitaji utaalamu wa hali ya juu.
Shida hawataki kuitwa wabana puakwani hata wakibana pua, lakini mashairi/lyrics yanasikika na kueleweka, kuna shida gana?
Aendelee kuvuta jani korofi ndio linaleta burudani zote hizo+kipaji,,Jani likikukubali lina hisia tamu katika kile ufanyachoHii mwenyewe kuna verse sijui chorus anasema " basi kamata chupa fungua na mimina eeeeh, lewa tukuone unavyocheza kichina"
Kwingine anasema " tajiri na wanae masikini na mali zake, asiye na shida nawe muache aende zake:"
Sema Harmo akiacha bangi atakuwa mkali sana😁😁
Kaisikilize sasa
Unamuunga mkono na wewe unatumia😁Aendelee kuvuta jani korofi ndio linaleta burudani zote hizo+kipaji,,Jani likikukubali lina hisia tamu katika kile ufanyacho
Yesss!!!MamitoUnamuunga mkono na wewe unatumia😁
Duh! Siyo nzuri hiyo ina haribu akiliYesss!!!Mamito
Kila Kitu Ni Kwa Kiasi Na Kwa Wakati Mamito,,Vyote Tutumiavyo Ukizidisha Tu Ni Either Uharibu Akili,,,Mwili Au Nafsi Au Vyote Kwa Pamoja Au Kimojawapo Kati Hivyo Au Viwili Kati Ya Hivyo Vitadhurika,,,Tujifunze Kuwa Na Kiasi Na Kufanya Vitu Kwa Kuzingatia Wakti Utafurahi Na Roho Yako Kipenzi ChanguDuh! Siyo nzuri hiyo ina haribu akili
inaitwa show me iyo yupo na mavokoMiye ile ya kumtaja vera sidika
sijakimbiwa na mke mkuuNyimbo ni yakawaida Sana, shida n situation uliyonayo saiv ndo maana unaona nzuri
jenipher mgendi - kekunduEbu tupia NYIMBO ambayo ni ya injili nayo