Folk Part II
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 419
- 490
Jamaa gani sasa alikuwa hajui anataka nini? Wakati nimeeleza nilichokuwa nakitaka ila sikikuta kwenye elimu niliyopitiaHata huko Ulaya Kuna watu wanasoma Physics.
Kuna Theoretical Physics na Engineering.
Sasa tatizo Tanzania hatujabase kwenye elimu yoyote hapo juu.
Zote ni muhimu, Moja ni kwa uelewa mpana wa somo husika na kuweza kuja na new idea, invention, theory or whatever.
Ya pili ni kudesign na kuunda vitu kwa kutegemea knowledge kutoka ya kwanza.
Sasa jamaa hakujua anataka nini kwenye elimu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila tu watu bwanaMm ni aina ya watu kama somebody naneuki
Kwanini mkuu? Kuna watu wasumbufu sana mkuu yan wanakeraWatoto wa 2000 wavaa visendo vya manyoya mnatuharibia sana JF
Tuliza kishundu chief tuko na degree za mtaani kutunza mtoto wa mtu mpk kifo unazani mchezohakuna degree kubwa kushinda hiiWakuu degree bongo hii degree zinatumika Kwa ufasaha ni mbili tu. Ya udokta na uwalimu hizo nyingine ni kanyaga twende tu yaani Zinakuwa kama useless.
Sasa ndugu yangu nikitumia Hapa badala ya Apa napungukiwa nini?Apa = hapa. Wewe hukupaswa kuiponda elimu wakati kuandika tu ni shida.
Unaongeza idadi ya watu watakaojua kuwa wewe ni mpuuzi.Sasa ndugu yangu nikitumia Hapa badala ya Apa napungukiwa nini?
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii degree ina up and down nyingi sana da! Kuna mda unahis kuelemewaTuliza kishundu chief tuko na degree za mtaani kutunza mtoto wa mtu mpk kifo unazani mchezohakuna degree kubwa kushinda hii
Labda kwa wale ambao hawana akili na wanaoamini vyeti ndo uwezo wa kufanya kazi,, ila hawa ambao nawawekea sawa website zao wananiamini sana mkuuUnaongeza idadi ya watu watakaojua kuwa wewe ni mpuuzi.
Kwahiyo kuunda kitu mpaka uingie darasani ? Una akili gani kijana ?Lengo langu lilikuwa nikisoma niwe na uelewa ambao utaniwezesha kuunda vitu,,,kwa mfano niweze kujua formula za kuunda chuma, hizi sahan za plastic niziunde au hata za udongo, rangi nitengeneze mwenyewe, nilitaman vidonge watu watengeneze Tanzania, nilipoingia secondary hiyo elimu sikuikuta nikaambiwa hapo unasoma ni intro tu nikaamini nikifika advance ntaikuta iyo elimu ambayo naifikilia mimi nilipofika nikaona bado sijaipata iyo elimu ikanibidi nipambane tu kufaulu mitihani kwa kukalili maandishi na maformula nikiamini labda ntaikuta chui huwezi amini nimefika chuo ndo kwanza mnaingizwa deep mnasoma vitu ambavyo havionekani hata kwa uso wa kawaida,,kwa mfano ilikuwa kawaida sana kukalukuleti joto kama zile heat ethalapy nilkuwa nakalukuleti huku naumia hivi hichi ndo kilichonifanya nilipie ada mamilioni,, nikasema mbona hii ni manual tu ambayo hata nisipoijua naishi na kuna watu hawaijui na wanaishi, nikaanza kujizalau sanaaa,,em chukulia mfano ndugu yangu ile rice cooker ina material kama plastic, chuma, aluminium, switch, nyaya ya kuchomekea kwenye umeme, diode(LED) nilitegemea ivi vitu ndo tufundishwe jinsi ya kuviunda ila ikawa tofauti tunaanzia kwenye joto linalopanda na kuanza kuheat mchele afu kwa mahesabu makubwa yanayosumbua ubongo,,, jamani Afrika hatutoendelea kamwe kama hatutobadilika na elimu yetu hii
Hapana ila Inahitaji elimu ambayo unaipata Kwa njia nyingi.Kwahiyo kuunda kitu mpaka uingie darasani ? Una akili gani kijana ?
Ndio maana nikakuuliza lengo la kusoma. Ndio maana unalalama.
Weka neno mkuu😊☺️[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila tu watu bwana
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Kuchimba sio tatizo je unavyo vichimba nakuelewa lakini kumbe ulikuwa unasoma mambo ambayo hayapo kwenye mazingira yakoElimu yoyote ile ni muhimu ikiwa utaichimba Kwa ndani na kuelewa vizuri na sio kutegemea madesa ya chuo kikuu pekee hata ao walimu bora na doctors ni wale wanaoenda extra miles.
Kuchimba sio tatizo je unavyo vichimba nakuelewa lakini kumbe ulikuwa unasoma mambo ambayo hayapo kwenye mazingira yakoElimu yoyote ile ni muhimu ikiwa utaichimba Kwa ndani na kuelewa vizuri na sio kutegemea madesa ya chuo kikuu pekee hata ao walimu bora na doctors ni wale wanaoenda extra miles.
Yaani watu wanakalilishana thermodynamics kukomoana na masteam table lipishana mamilioni afu wanashindwa hata kuunda steam engine. Ambayo James watt aliunda 1774 Kwa elimu ya kawaida hafu kunaja kuvimba huku kua elimu imewasaidia Kwa kua wamepata ajira tanroad za kuziba vilaka na kuajiri Kwa china na wahindi.Lengo langu lilikuwa nikisoma niwe na uelewa ambao utaniwezesha kuunda vitu,,,kwa mfano niweze kujua formula za kuunda chuma, hizi sahan za plastic niziunde au hata za udongo, rangi nitengeneze mwenyewe, nilitaman vidonge watu watengeneze Tanzania, nilipoingia secondary hiyo elimu sikuikuta nikaambiwa hapo unasoma ni intro tu nikaamini nikifika advance ntaikuta iyo elimu ambayo naifikilia mimi nilipofika nikaona bado sijaipata iyo elimu ikanibidi nipambane tu kufaulu mitihani kwa kukalili maandishi na maformula nikiamini labda ntaikuta chui huwezi amini nimefika chuo ndo kwanza mnaingizwa deep mnasoma vitu ambavyo havionekani hata kwa uso wa kawaida,,kwa mfano ilikuwa kawaida sana kukalukuleti joto kama zile heat ethalapy nilkuwa nakalukuleti huku naumia hivi hichi ndo kilichonifanya nilipie ada mamilioni,, nikasema mbona hii ni manual tu ambayo hata nisipoijua naishi na kuna watu hawaijui na wanaishi, nikaanza kujizalau sanaaa,,em chukulia mfano ndugu yangu ile rice cooker ina material kama plastic, chuma, aluminium, switch, nyaya ya kuchomekea kwenye umeme, diode(LED) nilitegemea ivi vitu ndo tufundishwe jinsi ya kuviunda ila ikawa tofauti tunaanzia kwenye joto linalopanda na kuanza kuheat mchele afu kwa mahesabu makubwa yanayosumbua ubongo,,, jamani Afrika hatutoendelea kamwe kama hatutobadilika na elimu yetu hii
Maarifa ya chuo unaonjeshwa hivyo Kama utakuwa MTU Wa kubweteka lazima uonekane umetapelewa lazima uipambanie career yakoKuchimba sio tatizo je unavyo vichimba nakuelewa lakini kumbe ulikuwa unasoma mambo ambayo hayapo kwenye mazingira yako
Mkuu wewe ni art au science maana una kichwa kizito sana nimekwambia hivi unaweza chimba kinadhalia vitabu vyote ila kimazingira ya hapa bongo hayasupport hata kufanya majaribio ya kitu unaweza je unaweza kufanya chenyewe kabisaMaarifa ya chuo unaonjeshwa hivyo Kama utakuwa MTU Wa kubweteka lazima uonekane umetapelewa lazima uipambanie career yako
Mkuu wewe ni art au science maana una kichwa kizito sana nimekwambia hivi unaweza chimba kinadhalia vitabu vyote ila kimazingira ya hapa bongo hayasupport hata kufanya majaribio ya kitu unaweza je unaweza kufanya chenyewe kabisaMaarifa ya chuo unaonjeshwa hivyo Kama utakuwa MTU Wa kubweteka lazima uonekane umetapelewa lazima uipambanie career yako
Mkuu wewe ni art au science maana una kichwa kizito sana nimekwambia hivi unaweza chimba kinadhalia vitabu vyote ila kimazingira ya hapa bongo hayasupport hata kufanya majaribio ya kitu unaweza je unaweza kufanya chenyewe kabisaMaarifa ya chuo unaonjeshwa hivyo Kama utakuwa MTU Wa kubweteka lazima uonekane umetapelewa lazima uipambanie career yako
Una hoja za kitoto Sana wewe unafikiri kila amesoma ili afanye kazi Tanzania Kwa fikra duni Kama hizo lazima uponde ElimuMkuu wewe ni art au science maana una kichwa kizito sana nimekwambia hivi unaweza chimba kinadhalia vitabu vyote ila kimazingira ya hapa bongo hayasupport hata kufanya majaribio ya kitu unaweza je unaweza kufanya chenyewe kabisa