Sema nini wakuu degree ni utapeli tu

Sema nini wakuu degree ni utapeli tu

Huna akili huko UN unaenda kuhutubia kuhusiana na marekani ambalo ndo takwa la UN kuendeleza mataifa makubwa huku ya chini yananyonywa huyo mzee aliendelea kwa sababu hakukubali kuwa kibaraka kama nyerere

Nikuulize kitu mababu zetu na sisi tuliopo saizi ni akina nani waliokubali kutawaliwa?

Hivi sisi tumepata uhuru think beyond nyerere aliwadanganya alikuwa anatumwa aongee hivo ili wafanikishe kuswitch utawala mpya tofauti na zaman
Nyerere angekuwa na akili kama zako ungekuta hadi leo hatujapata uhuru.
 
Wewe mpumbavu elewa kodi zilikuwepo hata kabla ya ukoloni.
Ndo wale washikilia maandiko kama wanasiasa na wanasheria na viongozi wa dini ,,,mengine yaliwekwa ili waabudiwe waliojuu wewe ni mjinga hata darasani kama ulifaulu utakuwa ulikuwa unakalili notes tu wakichengua kidogo tu chalii kwa akili yako nimeipima wewe umesoma art huna uwezo wa kusoma sayansi wewe
 
Ndo wale washikilia maandiko kama wanasiasa na wanasheria na viongozi wa dini ,,,mengine yaliwekwa ili waabudiwe waliojuu wewe ni mjinga hata darasani kama ulifaulu utakuwa ulikuwa unakalili notes tu wakichengua kidogo tu chalii kwa akili yako nimeipima wewe umesoma art huna uwezo wa kusoma sayansi wewe
Unakalili = unakariri. Wewe K jifunze kwanza kuandika.
 
Sema mm cjawah ona sehemu watu wanapiga chabo kama university hivi kwann....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Tena Afadhari UE Kwenye test aaah qqmk yani mtu na demu wake wamekaa yani mixer wanajadiri dah .
Wazee wa duchee
 
Vijana wakikosa kazi wao, basi elimu yote inakosa Tija.
Hatuhitaji kazi tunahitaji Elimu iliyo Bora yenye kutuwezesha kupambana na mazingira ya umaskini hawezekani degree hiyo hiyo marekani mtu anakua billionaire hafu Kwa kutumia degree hiyohiyo mtu anakua bodaboda
 
Hatuhitaji kazi tunahitaji Elimu iliyo Bora yenye kutuwezesha kupambana na mazingira ya umaskini hawezekani degree hiyo hiyo marekani mtu anakua billionaire hafu Kwa kutumia degree hiyohiyo mtu anakua bodaboda
Elimu bora ikoje au inavigezo gani? Hujui kuna Havard graduate wanatafuta kazi pia? Kujiajiri ni kipaji siyo elimu, maana kuna waliosome entrepreneur na wao wanatafuta ajira.

Kasome Vocational school au fanya short course za Small industries Development Organizations(SIDO) unajiajiri moja kwa moja. VETA fundi uashi, selemala, au fundi umeme wa magari au majumbani unajiajiri vizuri tu.
 
Elimu bora ikoje au inavigezo gani? Hujui kuna Havard graduate wanatafuta kazi pia? Kujiajiri ni kipaji siyo elimu, maana kuna waliosome entrepreneur na wao wanatafuta ajira.

Kasome Vocational school au fanya short course za Small industries Development Organizations(SIDO) unajiajiri moja kwa moja. VETA fundi uashi, selemala, au fundi umeme wa magari au majumbani unajiajiri vizuri tu.
Elimu Bora ni Ile yenye kuleta tija na kuendana na mazingira huwezi kumpa mtu elimu yenye theory ukashindwa hata kufanya demo afu utegemee muhitimu aende akafanye real. Yaani kufail Kwa kimazingira Kuna anzia hapohapo darasani.

Hafu kujiajiri sio kipaji kujiajiri ni asili ya mwanadamu Kwa hiyo inapotokea unampa mtu elimu akashindwa kujiajiri kupitia hiyo elimu ni moja moja hiyo ni bidhaa fake au duni.
 
nikupe mfano labda utanielewa wewe apo umesoma kirai nomino au kishazi katika kiswahili chako au maisha yako leo unakitumia icho?
Kwenye lugha ni jambo ambalo haliepukiki, lazima utumie iwe unajua au hujui, sababu ni katika sentensi na mazungumzo.

Sasa rudi kwenye nukta ya mzozo, kwani lengo la wewe kusoma ni nini ? Tuanzie hapo kwanza.
 
Kwenye lugha ni jambo ambalo haliepukiki, lazima utumie iwe unajua au hujui, sababu ni katika sentensi na mazungumzo.

Sasa rudi kwenye nukta ya mzozo, kwani lengo la wewe kusoma ni nini ? Tuanzie hapo kwanza.
Lengo langu lilikuwa nikisoma niwe na uelewa ambao utaniwezesha kuunda vitu,,,kwa mfano niweze kujua formula za kuunda chuma, hizi sahan za plastic niziunde au hata za udongo, rangi nitengeneze mwenyewe, nilitaman vidonge watu watengeneze Tanzania, nilipoingia secondary hiyo elimu sikuikuta nikaambiwa hapo unasoma ni intro tu nikaamini nikifika advance ntaikuta iyo elimu ambayo naifikilia mimi nilipofika nikaona bado sijaipata iyo elimu ikanibidi nipambane tu kufaulu mitihani kwa kukalili maandishi na maformula nikiamini labda ntaikuta chui huwezi amini nimefika chuo ndo kwanza mnaingizwa deep mnasoma vitu ambavyo havionekani hata kwa uso wa kawaida,,kwa mfano ilikuwa kawaida sana kukalukuleti joto kama zile heat ethalapy nilkuwa nakalukuleti huku naumia hivi hichi ndo kilichonifanya nilipie ada mamilioni,, nikasema mbona hii ni manual tu ambayo hata nisipoijua naishi na kuna watu hawaijui na wanaishi, nikaanza kujizalau sanaaa,,em chukulia mfano ndugu yangu ile rice cooker ina material kama plastic, chuma, aluminium, switch, nyaya ya kuchomekea kwenye umeme, diode(LED) nilitegemea ivi vitu ndo tufundishwe jinsi ya kuviunda ila ikawa tofauti tunaanzia kwenye joto linalopanda na kuanza kuheat mchele afu kwa mahesabu makubwa yanayosumbua ubongo,,, jamani Afrika hatutoendelea kamwe kama hatutobadilika na elimu yetu hii
 
sema nini mkuu
mambo ya hayajakunyokea tu yaani. kuna watu wana degree hizi hizi unazozidharau mambo yao super sana
Muelewe mtoa mada hamaanishi ukiwa na degree ndo umepata utajiri au umaskini, anachozungumza hapa ni kwenye elimu alitegemea ukiipata ufanye mambo makubwa, kwa mfano aliyesomea electrical engineering awe na uwezo wa kuunda mwenyewe copper wire, switch, meter za umeme, transformer aziunde lakini imekuwa tofauti anategemea avinunue ili aviunganishe, ambacho anasema hiki hakuhitaji degree maana hata mtu ambaye hajasoma degree hivi vitu anafanya,,,nahis unamuelewa kwamba hazina ajira
 
Elimu Bora ni Ile yenye kuleta tija na kuendana na mazingira huwezi kumpa mtu elimu yenye theory ukashindwa hata kufanya demo afu utegemee muhitimu aende akafanye real. Yaani kufail Kwa kimazingira Kuna anzia hapohapo darasani.

Hafu kujiajiri sio kipaji kujiajiri ni asili ya mwanadamu Kwa hiyo inapotokea unampa mtu elimu akashindwa kujiajiri kupitia hiyo elimu ni moja moja hiyo ni bidhaa fake au duni.
Umenena sana mkuu hongera nataman waelewe nini tunamaanisha
 
Lengo langu lilikuwa nikisoma niwe na uelewa ambao utaniwezesha kuunda vitu,,,kwa mfano niweze kujua formula za kuunda chuma, hizi sahan za plastic niziunde au hata za udongo, rangi nitengeneze mwenyewe, nilitaman vidonge watu watengeneze Tanzania, nilipoingia secondary hiyo elimu sikuikuta nikaambiwa hapo unasoma ni intro tu nikaamini nikifika advance ntaikuta iyo elimu ambayo naifikilia mimi nilipofika nikaona bado sijaipata iyo elimu ikanibidi nipambane tu kufaulu mitihani kwa kukalili maandishi na maformula nikiamini labda ntaikuta chui huwezi amini nimefika chuo ndo kwanza mnaingizwa deep mnasoma vitu ambavyo havionekani hata kwa uso wa kawaida,,kwa mfano ilikuwa kawaida sana kukalukuleti joto kama zile heat ethalapy nilkuwa nakalukuleti huku naumia hivi hichi ndo kilichonifanya nilipie ada mamilioni,, nikasema mbona hii ni manual tu ambayo hata nisipoijua naishi na kuna watu hawaijui na wanaishi, nikaanza kujizalau sanaaa,,em chukulia mfano ndugu yangu ile rice cooker ina material kama plastic, chuma, aluminium, switch, nyaya ya kuchomekea kwenye umeme, diode(LED) nilitegemea ivi vitu ndo tufundishwe jinsi ya kuviunda ila ikawa tofauti tunaanzia kwenye joto linalopanda na kuanza kuheat mchele afu kwa mahesabu makubwa yanayosumbua ubongo,,, jamani Afrika hatutoendelea kamwe kama hatutobadilika na elimu yetu hii
Hata huko Ulaya Kuna watu wanasoma Physics.

Kuna Theoretical Physics na Engineering.
Sasa tatizo Tanzania hatujabase kwenye elimu yoyote hapo juu.

Zote ni muhimu, Moja ni kwa uelewa mpana wa somo husika na kuweza kuja na new idea, invention, theory or whatever.

Ya pili ni kudesign na kuunda vitu kwa kutegemea knowledge kutoka ya kwanza.

Sasa jamaa hakujua anataka nini kwenye elimu.
 
Mkuu kama ulienda chuoni kukariri notes hapo sawa.....

Mm nilienda chuo kusoma Ili niweze kuya tawala maisha yangu 😊 kuziona fursa na kucheza nazo Ili kujipatia kipato na ndicho nacho kifanya Kwa Sasa japo nilichelewa kujua....

Any professional is a scam kama muusika ataamua kukariri notes na kuacha kutumia mbongo yake kuweza kuchekecha pumba na mchele...

Wasalaam
Kwa Sasa +267
Serikali ambayo ndiyo iliyokupa huo mfumo wa elimu inadai huo mfumo ni mbovu na haumuandai mtu kujiajiri ila wewe unapinga
 
Back
Top Bottom