Sema nini wakuu degree ni utapeli tu

Sema nini wakuu degree ni utapeli tu

Hata iyo ya form four haihitajiki kwenye kutawala maisha elimu ya kujongea na kongea tu inatosha
Umemaliza,,, hata udakitar hauhitaji kusomewa miaka 18 upo shule,,,, kama unajua kusoma na kuandika kiswahili na kingereza miaka miwili inatosha
 
NB:
Maarifa mengi yapo Kwa lugha ya kingereza na kichina ☺️☺️☺️☺️😊😊

Jidanganye kujongea na kuongea 😂😂😂😂😂😂😂

Ndio mtu akiugua mnasema amelogwa akiwa tajir mnasema ana fuga misukule 😂😂😂😂
Nilikuwa namwelewesha huyo anayesema form four tu inatosha degree Haina maana
 
wahandisi tumekaapalee tunawachora tuu.maaamae zenu.
mlijifanya kwenda five mtatoboa mumeenda huko wengi vipanga wahesabu mkaangukia ualimu😁wasayansi sekondari

sisi tumeenda chuochakati tukachukua uhandisi chap tunakula maisha nyie kuleni chaki naukipanga wenu.

mwanao akimaliza kidatochanne achana namambo ya five mpeleke chupa chao chauhandisi alemaisha chap
Umeandika upambavu,, unafikiri wote mliopitia chuo cha kati mna kazi? Mbona wapo walioenda six na ni wahindisi na wanamishahara mirefu kuliko nyie
 
Mbona law hujaitaja?
Law ni utapeli wa degree mwingine ngoja nikwambie wenzako wanatoboa vipi kwenye law wanaingia kwenye siasa wanakuwa na kazi tofaut na hiyo waliosomea siku wakisikia imetangazwa ndo wanaingizwa kirahis ila freshers kutoka vyuon ni kazi bure hata wakipata ni kwa uchache mpaka wale wa kwenye system yao kama wanapelea
 
Naungana na wewe kabisa, Ni Leo Asubuhi nimetoka kuongea na Dogo moja anasoma Degree ya Utawala Sijui na mavitu Gani ndio intake mpya, Mkopo amekosa mama yake anapambana na kukopa ili dogo asome kwa kuuza mgahawa mpaka unaona huruma🥲, akimaliza aje kupaki mpira home Tena.
Mwambie dogo aachane na huo ujinga anaenda kupoteza muda tu Bora amsaidie Mama yake kukuza biashara yake ya mgahawa hizo Pesa anazoenda kukopa amsomeshee aongezee kwenye mtaji aendelee na biashara yake sio kwenda kuifuata degree isiyokua na manufaa yoyote
 
🤣🤣🤣 ila watu mnachekesha "hakuna mhandisi asiyekosa kazi" hauna ndugu au marafiki uwapeleke uhandisi wapate kazi? Usifikiri sisi watoto bwana tunaelewa tu mainjinia wengi huku mtaani na wameamua kuwa mainjinia wa kupanga kucha rangi
i
inategemea chuochakati umeenda kujifunza nini.hakuna mhandisi anaekosa kazi.
 
Hata engineering yenyewe ni kizungumkuti huwezi somesha electrical engineer hafu anakuja kufanya wiring. Au mechanical engineer anakuja kufungua gerage na civil engineer anakuja kua mchora ramani.
Sasa kwani kazi za wiring sio kazi kwa Muhandisi wa umeme ? Wewe ulitaka afanye kazi gani ?
 
Na degree za engineering pia umezisahau hasa hasa Civil Engineering kidogo na Electrical Engineering.

Mechanical engineering ya bongo ni utapeli tu. Kazi wanazozifanya ni zile zile zinafanywa na mafundi ambao hawajaenda shule.

Engineering zingine zote kwa bongo ni degree za kitapeli tapeli tu
Duh!!!!.....
 
Na degree za engineering pia umezisahau hasa hasa Civil Engineering kidogo na Electrical Engineering.

Mechanical engineering ya bongo ni utapeli tu. Kazi wanazozifanya ni zile zile zinafanywa na mafundi ambao hawajaenda shule.

Engineering zingine zote kwa bongo ni degree za kitapeli tapeli tu
Naunga mkono hoja.
 
Huu uzi una comments za kipumbavu sana. Yaani watu wana mawazo potofu kuhusu elimu. Hela bila elimu haiwezi leta ukombozi kwa taifa. Wazee wa Kariakoo walikuwa wana hela za kutosha ila ilibidi wamweke Nyerere kama kiongozi wao ili kupigania uhuru kwa sababu elimu hawakuwa nayo. Mtu kama Kishimba anaweza hutubia mkutano wa UN? Vijana wanakata sana tamaa.
Huna akili huko UN unaenda kuhutubia kuhusiana na marekani ambalo ndo takwa la UN kuendeleza mataifa makubwa huku ya chini yananyonywa huyo mzee aliendelea kwa sababu hakukubali kuwa kibaraka kama nyerere

Nikuulize kitu mababu zetu na sisi tuliopo saizi ni akina nani waliokubali kutawaliwa?

Hivi sisi tumepata uhuru think beyond nyerere aliwadanganya alikuwa anatumwa aongee hivo ili wafanikishe kuswitch utawala mpya tofauti na zaman
 
Huu uzi una comments za kipumbavu sana. Yaani watu wana mawazo potofu kuhusu elimu. Hela bila elimu haiwezi leta ukombozi kwa taifa. Wazee wa Kariakoo walikuwa wana hela za kutosha ila ilibidi wamweke Nyerere kama kiongozi wao ili kupigania uhuru kwa sababu elimu hawakuwa nayo. Mtu kama Kishimba anaweza hutubia mkutano wa UN? Vijana wanakata sana tamaa.
Kuhutubia UN kutamsaidia nini kishimba?
 
Degree zenye maana ni zile zimebase kwenye kitu mahususi tuu kama ulivyosema udaktari, ualimu, engineering yenyewe inakuja inakataa hivi.
Hizi nyingine sijui Human resource, public administration ni utapeli tuu ndo zinatuzalishia wakina february.
Labda wabadili content lakini hadi sahivi zimeprove nothing uraiani.
Kwanza hata walichokisomea hakitumiki.....ni kazi ambayo mtu wa kawaida anaweza fanya.
 
Back
Top Bottom