Sema nini wakuu degree ni utapeli tu

Sema nini wakuu degree ni utapeli tu

Uko kitumwa wa historia enzi hizo hakukuwa na vyombo vya kusimamia ubora ndio maana hao wagunduzi ndege wakijaribu iliwaua


Sasa hivi huwezibuni ndege Yako huna Elimu ya Engineering na kusomea upilot ukairusha hakuna kitu kama hicho usikariri historia.
Sasa hivi ukitengeneza ndege au helikopta na hujasoma lazima waje mainjinia waliosoma kuhakiki ubora popote duniani
We ni mwanasiasa uko mtupu sanaaa haufai kuongea kabisa mbele za watu, ulipo hapo unajua kutengeneza tu mzigo chooni

Ulishawahi kujiuliza kwanini wameweka huo udhibiti ubora?

Hivi wewe unafikiri mtu anayeanza kutengeneza atatengeneza kwa asilimia 100? Trial and fail lazima ziwe nyingi ujinga waliosoma art ndio wanaongoza nchi ukibuni kitu utasikia hakifanyi kazi kama cha mzungu
 
Mkuu kama ulienda chuoni kukariri notes hapo sawa.....

Mm nilienda chuo kusoma Ili niweze kuya tawala maisha yangu 😊 kuziona fursa na kucheza nazo Ili kujipatia kipato na ndicho nacho kifanya Kwa Sasa japo nilichelewa kujua....

Any professional is a scam kama muusika ataamua kukariri notes na kuacha kutumia mbongo yake kuweza kuchekecha pumba na mchele...

Wasalaam
Kwa Sasa +267
Kuna maboss walisimama kazi ili kurudi chuo kutafuta hiyo degree watakuwa wamekuelewa

Kuna hawa vijana wanaosoma ili kukariri notes wafaulu ndio wanaoona degree ni scum
 
We ni mwanasiasa uko mtupu sanaaa haufai kuongea kabisa mbele za watu, ulipo hapo unajua kutengeneza tu mzigo chooni

Ulishawahi kujiuliza kwanini wameweka huo udhibiti ubora?

Hivi wewe unafikiri mtu anayeanza kutengeneza atatengeneza kwa asilimia 100? Trial and fail lazima ziwe nyingi ujinga waliosoma art ndio wanaongoza nchi ukibuni kitu utasikia hakifanyi kazi kama cha mzungu
Aisee mkuu safi sana japo nimejaribu kumwelekeza Kwa kupindapinda ila nao wewe umesema short and clear
 
Kuna maboss walisimama kazi ili kurudi chuo kutafuta hiyo degree watakuwa wamekuelewa

Kuna hawa vijana wanaosoma ili kukariri notes wafaulu ndio wanaoona degree ni scum
Mabosi wa Dunia ambako degree zimekopiwa na zinatumika waliacha chuo na wingine hawakwenda kabisa. Sasa unatoleaje Mfano huyo boss wako ambae yuko ambako hata hizo degree hazitumiki
Kwa ufasaha
 
Aisee mkuu safi sana japo nimejaribu kumwelekeza Kwa kupindapinda ila nao wewe umesema short and clear
Mkuu hizi elimu za kijinga sanaaa, hazitupeleki popote hazituwezeshi kuunda kitu kabisa kiufupi hizi elimu ni manual ya vyombo vya watu walivyobuni, ni kawaida tu unatumia pen ambayo huwezi hata kuiunda kuanzia wino kanakoandika hadi plastic zake, yaan degree, masters na ma PHD holders ni watupu sana mkuu na ni wapumbavu, sasa mtu unadegree unaelewa kabisa japo nina degree ila nimepigwa, ukiambiwa ukweli degree tumepigwa unaanza kubisha kwa sababu unayo ili uonekane wewe ni bora si upambavu huu tunawapoteza hadi madogo sasa
 
Mkuu hizi elimu za kijinga sanaaa ,,,hazitupeleki popote hazituwezeshi kuunda kitu kabisa kiufupi hizi elimu ni manual ya vyombo vya watu walivyobuni,,,ni kawaida tu unatumia pen ambayo huwezi hata kuiunda kuanzia wino kanakoandika hadi plastic zake,,,,yaan degree, masters na ma PHD holders ni watupu sana mkuu na ni wapumbavu,,,sasa mtu unadegree unaelewa kabisa japo nina degree ila nimepigwa ,, ukiambiwa ukweli degree tumepigwa unaanza kubisha kwa sababu unayo ili uonekane wewe ni bora si upambavu huu tunawapoteza hadi madogo sasa
Elimu hii inafanya tuwe consumer sio producer na shida maCCM hayata kuimbia jamii ukweli ndio maana vijana wanabaki na migogoro nafsi na depression nyingi
 
Degree zingine ni irrelevant kabisa, we bongo unasoma international relations!!!!! International relations Ili uli relate na nani ww bichwa km kocha wa yanga.
 
Degree zenye maana ni zile zimebase kwenye kitu mahususi tuu kama ulivyosema udaktari, ualimu, engineering yenyewe inakuja inakataa hivi.
Hizi nyingine sijui Human resource, public administration ni utapeli tuu ndo zinatuzalishia wakina february.
Labda wabadili content lakini hadi sahivi zimeprove nothing uraiani.
Mfano mwijaku wa clouds fm ana degree ya HR lakin hajui kutofautisha mita na kilometa na hata hajui kama mlima Kilimanjaro upo mkoa gani
 
Kuna maboss walisimama kazi ili kurudi chuo kutafuta hiyo degree watakuwa wamekuelewa

Kuna hawa vijana wanaosoma ili kukariri notes wafaulu ndio wanaoona degree ni scum
Wana clemisha notes na kujibu mitiani Ili wapate vyeti waajiriwe.

Nje ya box mtu kama huyo si lolote si chochote mara 100% "Education iwe ni for seif reliances"
 
Hata iyo ya form four haihitajiki kwenye kutawala maisha elimu ya kujongea na kongea tu inatosha
NB:
Maarifa mengi yapo Kwa lugha ya kingereza na kichina ☺️☺️☺️☺️😊😊

Jidanganye kujongea na kuongea 😂😂😂😂😂😂😂

Ndio mtu akiugua mnasema amelogwa akiwa tajir mnasema ana fuga misukule 😂😂😂😂
 
Degree zingine ni irrelevant kabisa, we bongo unasoma international relations!!!!! International relations Ili uli relate na nani ww bichwa km kocha wa yanga.
Hao huwa wanaajiriwa kama foreign service officers wizara ya mambo ya nje
 
NB:
Maarifa mengi yapo Kwa lugha ya kingereza na kichina ☺️☺️☺️☺️😊😊

Jidanganye kujongea na kuongea 😂😂😂😂😂😂😂

Ndio mtu akiugua mnasema amelogwa akiwa tajir mnasema ana fuga misukule 😂😂😂😂
Huu uzi una comments za kipumbavu sana. Yaani watu wana mawazo potofu kuhusu elimu. Hela bila elimu haiwezi leta ukombozi kwa taifa. Wazee wa Kariakoo walikuwa wana hela za kutosha ila ilibidi wamweke Nyerere kama kiongozi wao ili kupigania uhuru kwa sababu elimu hawakuwa nayo. Mtu kama Kishimba anaweza hutubia mkutano wa UN? Vijana wanakata sana tamaa.
 
Back
Top Bottom