Sema nini wakuu degree ni utapeli tu

Una hoja za kitoto Sana wewe unafikiri kila amesoma ili afanye kazi Tanzania Kwa fikra duni Kama hizo lazima uponde Elimu
Hatusomi Ili kufanyia kazi Watu tunasoma Ili kuyamudu mazingira kutatua matatizo mbalimbali yanayotunazunguka.

Mkuu hizo hoja zako ulizo zitaja ni akili za kihaya. Ndio maana limkoa lenu ni lakimaskini kutokana na mentality zenu za Kikudar
 
Una hoja za kitoto Sana wewe unafikiri kila amesoma ili afanye kazi Tanzania Kwa fikra duni Kama hizo lazima uponde Elimu
Hatusomi Ili kufanyia kazi Watu tunasoma Ili kuyamudu mazingira kutatua matatizo mbalimbali yanayotunazunguka.

Mkuu hizo hoja zako ulizo zitaja ni akili za kihaya. Ndio maana limkoa lenu ni lakimaskini kutokana na mentality zenu za Kikudar
 
Mifumo mingine yote ya elimu ilishafeli ndio huu ukaonekana ni aafadhali na bora.

Besides hizo njia nyingine zinaendelea kutumika sambamba na njia hii inayoondoa vilaza.
 
We jamaa mbona ni mwanaume lakini unajiita mama tena Samia?? nauliza tu mkuu sio kwa ubaya
 
Mifumo mingine yote ya elimu ilishafeli ndio huu ukaonekana ni aafadhali na bora.

Besides hizo njia nyingine zinaendelea kutumika sambamba na njia hii inayoondoa vilaza.
Elimu ya kujitegemea ya kipindi cha nyerere nayo ilifeli ?
 
Mifumo mingine yote ya elimu ilishafeli ndio huu ukaonekana ni aafadhali na bora.

Besides hizo njia nyingine zinaendelea kutumika sambamba na njia hii inayoondoa vilaza.
Sasa mbona vilaza bado mpo wengi?
 
Nibora nisisome kbsa eti degree ya p.a unasoma miaka 3 seriously

Bora nikomaee na sheria
 
Kuna vilivyofanikiwa na vilivyofeli.

Bado elimu ya kujitegemea ilikuwa kwenye muundo sawa na mfumo huu wa elimu unao uponda.
Uwongo elimu ya kujitegemea ni mbingu na ardhi hafu hizo njia nyingine za kutoa elimu ni ghali ndio maana elimu ya kujitegemea ilichanganyika na hii na hizo njia nyingine. Hiyo ya Sasa ni makapi ya mwisho ndio maana hata ambao hawajasoma wanapenda kujilinganisha. Hafu kingine hujasoma historia kua mababu zetu walikatwa Mikono na mabeberu kisa viwanda vyao vidogo kama kuunda vyungu ila Sasa Hivi hiyo degree hata hawaziogopi wanajua mwisho wa sikuu mnakua wateja wao.
 
Kuna watu wamepiga mining engineering wako makampuni makubwa ya madini wanafanya yao….tusi ishi kwa kukariri
 
Mnge kuwa mmefikia hata 1900 ya marekani ningewasikiliza. Ila Kwa mwendo huu wa kuumpa kandarasj mchina ajenge ghorofa tatu. Huku nyie mkiendelea kumuimbia mapambio sa100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…