Mechanic 97
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 854
- 1,296
- Thread starter
-
- #21
Mmmmmh! Msomi vitu ambavyo havionekaniMkuu,
Mkuu,
Mkuu,
Hata mwenye degree ya gender studies kama alienda kusoma kuelimika sio kukariri notes ni msomi mkubwa sanaa usidharau degree hapa sizungumzii degree za chupi[emoji23][emoji23][emoji23]
Wasalaam
Kwa Sasa
+267
+267 code ya wapi mkuu?Mkuu kama ulienda chuoni kukariri notes hapo sawa.....
Mm nilienda chuo kusoma Ili niweze kuya tawala maisha yangu 😊 kuziona fursa na kucheza nazo Ili kujipatia kipato na ndicho nacho kifanya Kwa Sasa japo nilichelewa kujua....
Any professional is a scam kama muusika ataamua kukariri notes na kuacha kutumia mbongo yake kuweza kuchekecha pumba na mchele...
Wasalaam
Kwa Sasa +267
sasa wangetakiwa wafanye construction za aina gani?Yaani hizo construction zinazofanyika bongo na hiyo degree ya miaka minne haendani kabisa.
botswana jamaa ni shabiki wa kolo kaenda kucheki game anatuvimbia.+267 code ya wapi mkuu?
Watu wa huko ulaya wamefanya project kama hizi za kibongo miaka Ile kabla ya kawapo kwa hizo degreesasa wangetakiwa wafanye construction za aina gani?
😆😆 kweli mkuu? Sio yupo kwenye pilika za maisha.botswana jamaa ni shabiki wa kolo kaenda kucheki game anatuvimbia.
Hahhahaha natania tuu mkuu, sijui anamishe gani huko.😆😆 kweli mkuu? Sio yupo kwenye pilika za maisha.
Kwahiyo watu wasisome engineering kwa sababu watu wa zamani walifanya bila kuwa na degree?Watu wa huko ulaya wamefanya project kama hizi za kibongo miaka Ile kabla ya kawapo kwa hizo degree
Mkuu,botswana jamaa ni shabiki wa kolo kaenda kucheki game anatuvimbia.
Wakuu degree bongo hii degree zinatumika Kwa ufasaha ni mbili tu. Ya udokta na uwalimu hizo nyingine ni kanyaga twende tu yaani Zinakuwa kama useless.
We jamaa degree na engineering ni vitu viwili tofautiKwahiyo watu wasisome engineering kwa sababu watu wa zamani walifanya bila kuwa na degree?
Mkuu botswana si unaingia bila visa?Mkuu,
Sijamvimbia mtu ila kama mentality yako inakutuma kua navimbia watu sawa😂😂😂
Acha izo ndugu
Peace & Love
✌️✌️
Kuna ma degree ya kipumbavu sana pale SUA!Wakuu degree bongo hii degree zinatumika Kwa ufasaha ni mbili tu. Ya udokta na uwalimu hizo nyingine ni kanyaga twende tu yaani Zinakuwa kama useless.
Kuna jamaa nimewaona mkuu wakutoka chuo hicho ni noma tu mkuu.Kuna ma degree ya kipumbavu sana pale SUA!
Kama msomi wa chuo kikuu unaandika namna hii, mleta mada hajakosea kuziponda degree.Mkuu kama ulienda chuoni kukariri notes hapo sawa.....
Mm nilienda chuo kusoma Ili niweze kuya tawala maisha yangu 😊 kuziona fursa na kucheza nazo Ili kujipatia kipato na ndicho nacho kifanya Kwa Sasa japo nilichelewa kujua....
Any professional is a scam kama muusika ataamua kukariri notes na kuacha kutumia mbongo yake kuweza kuchekecha pumba na mchele...
Wasalaam
Kwa Sasa +267
Advanced level pia ni upumbavu, ukifaulu F4 nenda kachukue ujuzi diploma miaka 2 then jiendeleze.Sina degree mkuu ila kiukweli sikuwahi kupenda degree baada ya kuona hata ninavyo visoma advance kwenye real kama hivipo hivi.
Kidogo civil japo nayo Kwa mambo wanayo ya fanya hapo bongo ni basic sana ukilinganisha na vya ulayaNa degree engineering pia hasa hasa Civil Engineering kidogo na Electrical Engineering.
Mechanical engineering ya bongo ni utapeli tu. Kazi wanazozifanya ni zile zile zinafanywa na mafundi ambao hawajaenda shule.
Engineering zingine zote kwa bongo ni degree za kitapeli tapeli tu
Mmmh! mkuu advanced level ni muhimu Kwa nchi yetu hii wanafunzi wengi mpaka form huwa wanakua bado wako basic kutokana na lughaAdvanced level pia ni upumbavu, ukifaulu F4 nenda kachukue ujuzi diploma miaka 2 then jiendeleze.
Yes mkuuMkuu botswana si unaingia bila visa?