Sema nini wakuu degree ni utapeli tu

Sema nini wakuu degree ni utapeli tu

Hakuna degree bora zaidi ya mwenzake
Lengo la kusoma ni kupanua uelewa zaidi kwenye eneo Husika mfano mwl Ana base zaidi kwenye kufundisha lakini mtu aliyesomea marketing Ana base zaidi kuifanya taasisi ipate wateja ili ipate mapato zaidi
Mtu wa Hr yy anabase namna ya kumanage wafanyakazi wapate stahiki zao pamoja na kuiepusha taasisi kwenye mkono wa Sheria Kama kumfukuza mfanyakazi bila kufata utaratibu
Kitengo cha sheria kipo kwa ajili ya kuhakikisha taasisi inafanya kazi kwa mjibu wa kanuni na sheria Ndio maana mtu anasoma law
 
Sina degree mkuu ila kiukweli sikuwahi kupenda degree baada ya kuona hata ninavyo visoma advance kwenye real kama hivipo hivi.
Wewe una hasira ya kutokuwa na degree. Inaonyesha ni jambo linalokutesa sana. Hujachelewa nenda chuo kasome. Hata mimi huwa nateseka kisaikolojia nikikumbuka mwaka 2015 niliacha kwenda UDSM kusoma masters na kuamua kujikita kwenye biashara. Hadi leo sijaweza kurudi kusoma. Ila Mungu akipenda nitaenda kusoma hiyo
 
Wewe una hasira ya kutokuwa na degree. Inaonyesha ni jambo linalokutesa sana. Hujachelewa nenda chuo kasome. Hata mimi huwa nateseka kisaikolojia nikikumbuka mwaka 2015 niliacha kwenda UDSM kusoma masters na kuamua kujikita kwenye biashara. Hadi leo sijaweza kurudi kusoma. Ila Mungu akipenda nitaenda kusoma hiyo
Hasira ya kwenda kuchukua madeni? Kama ndio degree hizo zinawafanya muwe Hadi machawa hata hiyo master Bora mungu asikupe tu.
 
Hasira ya kwenda kuchukua madeni? Kama ndio degree hizo zinawafanya muwe Hadi machawa hata hiyo master Bora mungu asikupe tu.
Elimu haijawahi kuwa na mbadala wake. Hata uwe bilionea kama huna elimu bado utaishia kuwa na hasira kama hizi zako. Huoni wenzako Msukuma na Babutale imebidi wanunue udokta wa mchongo? Nenda kasome hujachelewa.
 
Wakuu degree bongo hii degree zinatumika Kwa ufasaha ni mbili tu. Ya udokta na uwalimu hizo nyingine ni kanyaga twende tu yaani Zinakuwa kama useless.
Maneno makali mkuu, wenye degree za uhandisi wasio na kazi za maana ni wengi, hii inaweza ikakupa picha kuwa hizi degree ni useless, we jiulize, hii platform uliyotumia kupost, imetengenezwa na engineer, tena sio wa IT, wa civil!
Ukipata muda tembelea data centre za tigo,Vodacom(moja IPO Dodoma uzunguni), au nenda migodini, uone wahandisi wa bongo wanavyochapa kazi, kuweka miundombinu sawa, sasa wewe upo nanyumbu mtwara, unapiga cm kyelwa kagera, unajua cm yako inapita minara mingapi ili kufika? Je umeishawahi kuwa ona wanao fanya maintenance ya hiyo miundombinu ya mawasialiano? Acha kabisa, wapo wahandisi(sekta binafsi) wanafanya makubwa,
Inawezekana hatujafika hatua ya kutengeneza bidhaa zetu kama Toyota(Japan), Mahindra(India), Samsung(Korea), nk, lakini kwa, kufanyia maintenance vitu vilivyopo tunajitahidi.
 
Ila mlio kimbia umande kutwa kutuanzishia nyuzi. Nani alikutuma uache kusoma?

Mbona sisi hatuwanangi, hatuwafungulii shule?

Mtupumzishe basi. Sisi tunajua elimu zetu zinatusaidia nn muhimu tukutane sheli
 
Elimu haijawahi kuwa na mbadala wake. Hata uwe bilionea kama huna elimu bado utaishia kuwa na hasira kama hizi zako. Huoni wenzako Msukuma na Babutale imebidi wanunue udokta wa mchongo? Nenda kasome hujachelewa.
Sawa ila ni Elimu sahihi inayoendana na mazingira hafu elimu sahihi sio hayo madegree yasio na kazi wala kuweza kubadilisha Hali mbaya ya nchi za Africa. Hafu kitu kingine ambacho hukijui mapokeo ya elimu yapo ya aina nyingi siyo tu hiyo ya kukaa darasani nahiyo ya kukaa darasani ni Kati njia dhaifa sana ila ni rahisi kupata elimu.
 
Maneno makali mkuu, wenye degree za uhandisi wasio na kazi za maana ni wengi, hii inaweza ikakupa picha kuwa hizi degree ni useless, we jiulize, hii platform uliyotumia kupost, imetengenezwa na engineer, tena sio wa IT, wa civil!
Ukipata muda tembelea data centre za tigo,Vodacom(moja IPO Dodoma uzunguni), au nenda migodini, uone wahandisi wa bongo wanavyochapa kazi, kuweka miundombinu sawa, sasa wewe upo nanyumbu mtwara, unapiga cm kyelwa kagera, unajua cm yako inapita minara mingapi ili kufika? Je umeishawahi kuwa ona wanao fanya maintenance ya hiyo miundombinu ya mawasialiano? Acha kabisa, wapo wahandisi(sekta binafsi) wanafanya makubwa,
Inawezekana hatujafika hatua ya kutengeneza bidhaa zetu kama Toyota(Japan), Mahindra(India), Samsung(Korea), nk, lakini kwa, kufanyia maintenance vitu vilivyopo tunajitahidi.
Kazi ya degree holder wa engineering sio kufanya maintenance ndio maana nimekwambia mmetapeliwa
 
Ila mlio kimbia umande kutwa kutuanzishia nyuzi. Nani alikutuma uache kusoma?

Mbona sisi hatuwanangi, hatuwafungulii shule?

Mtupumzishe basi. Sisi tunajua elimu zetu zinatusaidia nn muhimu tukutane sheli
Tulikimbia umande unamaanisha tuliishia sekondari au msingi kama ni hivyo nikwambie pole ninaelimu ya darasani ya kawaida ila inaweza ikawa ila inaweza ikawa zaidi ya degree nyingi tu ikiwezekana hata ya kwako.
 
Sawa ila ni Elimu sahihi inayoendana na mazingira hafu elimu sahihi sio hayo madegree yasio na kazi wala kuweza kubadilisha Hali mbaya ya nchi za Africa. Hafu kitu kingine ambacho hukijui mapokeo ya elimu yapo ya aina nyingi siyo tu hiyo ya kukaa darasani nahiyo ya kukaa darasani ni Kati njia dhaifa sana ila ni rahisi kupata elimu.
Huna degree halafu unaponda wenye degree. Wewe na hiyo elimu yako uliyo nayo kuna alama gani umeweka kwenye jamii? Usingekaa darasani ungejua kuandika hiki unachokiandika? Kama huna hela ya ada omba mchango ukasome. Au vyeti vyako vya Form four na six vina F nyingi?
 
Maneno makali mkuu, wenye degree za uhandisi wasio na kazi za maana ni wengi, hii inaweza ikakupa picha kuwa hizi degree ni useless, we jiulize, hii platform uliyotumia kupost, imetengenezwa na engineer, tena sio wa IT, wa civil!
Ukipata muda tembelea data centre za tigo,Vodacom(moja IPO Dodoma uzunguni), au nenda migodini, uone wahandisi wa bongo wanavyochapa kazi, kuweka miundombinu sawa, sasa wewe upo nanyumbu mtwara, unapiga cm kyelwa kagera, unajua cm yako inapita minara mingapi ili kufika? Je umeishawahi kuwa ona wanao fanya maintenance ya hiyo miundombinu ya mawasialiano? Acha kabisa, wapo wahandisi(sekta binafsi) wanafanya makubwa,
Inawezekana hatujafika hatua ya kutengeneza bidhaa zetu kama Toyota(Japan), Mahindra(India), Samsung(Korea), nk, lakini kwa, kufanyia maintenance vitu vilivyopo tunajitahidi.
Huyu jamaa ana hasira tu ya kutopata degree.
 
Tulikimbia umande unamaanisha tuliishia sekondari au msingi kama ni hivyo nikwambie pole ninaelimu ya darasani ya kawaida ila inaweza ikawa ila inaweza ikawa zaidi ya degree nyingi tu ikiwezekana hata ya kwako.
Haitakaa itokee hicho unachosema. Wewe ni mtu mwenye elimu duni unayeonea wivu waliosoma. Punguza chuki na hasira. Jipange urudi shule. Kuwachukia waliosoma ni aina mojawapo ya uchawi.
 
Back
Top Bottom