GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwangu Mimi GENTAMYCINE ninachojua mazuri yote hasa ya Kimiundombinu yanayotokea sasa yametokana na Hayati Magufuli na bado sijaona hata moja ambalo aliyeko sasa anaweza kusema Yeye ndiyo kalifanikisha na kama labda kuna alilofanikisha kwa upande wake ni Kucheza Sinema Mbugani na kufanya Mabadiliko ya mara kwa mara ya Watendaji wake ili kila mwana CCM aonje Utamu wa Keki Tanzania kwa Mgongo wa Kuwakamua Watanzania Masikini kupitia Kodi zao.
Hayati Magufuli lala salama Baba najua sasa Huthaminiki wala Hukumbukwi ila GENTAMYCINE nitakuimba daima tu!!!
Hayati Magufuli lala salama Baba najua sasa Huthaminiki wala Hukumbukwi ila GENTAMYCINE nitakuimba daima tu!!!