Semi Final 2, CECAFA: Zanzibar Heroes yaifunga Uganda goli 2 - 1! Sasa kukutana na Kenya katika mchezo wa fainali

Kenya tulieni. Kombe linakwenda Zanzibar
 
Mkuu.. Banka na Ahmada tumemaliza pale Msimbazi?
Okwi vipi ameshakuwa garasa? Yani usajili wa bilioni moja plus bado kuna mapengo kwenye timu? Mwambieni Hans Pope hizo sifuri alizoongeza kwenye usajili azirudishe.
 
Na sisi tunajisikia vizuri wazenji......hongera zao Zanzibar heroes
 
Nimeipenda Jezi yao. Daah, jamaa wako vizuri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…