Send off nzuri sana imefanyika ya binti anayejielewa kutoka familia inayojitambua. Hakuna kusumbua watu Michango

Send off nzuri sana imefanyika ya binti anayejielewa kutoka familia inayojitambua. Hakuna kusumbua watu Michango

send off kali sana.

33 People Invited Only na majina ya waalikwa yamebandikwa kabisa, No hekahekaa! Hapa hakuna cha kuzamia sherehe kama jina lako hamna huingii maana hakuna siti ya ziada.

1 - Hakuna kusumbua watu michango

2- Hakuna kupotezea watu muda wao na vikao vingi vya Kamati

3 - Hakuna madeni.

this show her mental health stability ipo juu sana.

View attachment 3255993
Kupanga ni kuchagua , jiulize:-
  1. Huyo binti ana baba wakubwa , wadogo , wajomba na shangazi?
  2. Huyu binti ana kaka zake, dada zake na wadogo zake?
  3. Wadogo na dada wa binti wameolewa, kama ndio je wana waume zao ama wake zao wapo na kama wapo je wakwe [walio oa ama kuolewa kwenye familia wapo?]
  4. Huyu binti , amesoma Vidudu, Msingi, Sekondari , A level na Chuo, huko kote hana marafiki wataty tu, kila alipopita?
  5. Huyu binti anafanya kazi kama si biashara kwa wachaggaa, hana bosi wala mfanyakazi mwenzie?
  6. Huyu binti , nina uhakika wameishi nyumba za kupanga, ina maana hana majirani watatu pale kinondoni, pale Ada Estate na sasa kwao mikocheni?
  7. huyu binti ni Kafiri [Mkristo], je hana kiongozi wa jumuia ama mchungaji wake ?
  8. Huyu binti hayo si mahusiano yake ya kwanza, ina maana hana ma-ex zake?
kwa haraka haraka ukijumlisha nlio wataja unapata watu 70.
 
Kupanga ni kuchagua , jiulize:-
  1. Huyo binti ana baba wakubwa , wadogo , wajomba na shangazi?
  2. Huyu binti ana kaka zake, dada zake na wadogo zake?
  3. Wadogo na dada wa binti wameolewa, kama ndio je wana waume zao ama wake zao wapo na kama wapo je wakwe [walio oa ama kuolewa kwenye familia wapo?]
  4. Huyu binti , amesoma Vidudu, Msingi, Sekondari , A level na Chuo, huko kote hana marafiki wataty tu, kila alipopita?
  5. Huyu binti anafanya kazi kama si biashara kwa wachaggaa, hana bosi wala mfanyakazi mwenzie?
  6. Huyu binti , nina uhakika wameishi nyumba za kupanga, ina maana hana majirani watatu pale kinondoni, pale Ada Estate na sasa kwao mikocheni?
  7. huyu binti ni Kafiri [Mkristo], je hana kiongozi wa jumuia ama mchungaji wake ?
  8. Huyu binti hayo si mahusiano yake ya kwanza, ina maana hana ma-ex zake?
kwa haraka haraka ukijumlisha nlio wataja unapata watu 70.
Ndoa na msiba ni jambo la kifamilia. Aliosoma nao,majirani ,mchungaji, kiongozi wa jumuia,ex boyfriends inatoka wapi.
 
Ustaarabu ni kutochangisha michango eti [emoji23]
 
Kupanga ni kuchagua , jiulize:-
  1. Huyo binti ana baba wakubwa , wadogo , wajomba na shangazi?
  2. Huyu binti ana kaka zake, dada zake na wadogo zake?
  3. Wadogo na dada wa binti wameolewa, kama ndio je wana waume zao ama wake zao wapo na kama wapo je wakwe [walio oa ama kuolewa kwenye familia wapo?]
  4. Huyu binti , amesoma Vidudu, Msingi, Sekondari , A level na Chuo, huko kote hana marafiki wataty tu, kila alipopita?
  5. Huyu binti anafanya kazi kama si biashara kwa wachaggaa, hana bosi wala mfanyakazi mwenzie?
  6. Huyu binti , nina uhakika wameishi nyumba za kupanga, ina maana hana majirani watatu pale kinondoni, pale Ada Estate na sasa kwao mikocheni?
  7. huyu binti ni Kafiri [Mkristo], je hana kiongozi wa jumuia ama mchungaji wake ?
  8. Huyu binti hayo si mahusiano yake ya kwanza, ina maana hana ma-ex zake?
kwa haraka haraka ukijumlisha nlio wataja unapata watu 70.

Kupanga ni kuchagua , jiulize:-
  1. Huyo binti ana baba wakubwa , wadogo , wajomba na shangazi?
  2. Huyu binti ana kaka zake, dada zake na wadogo zake?
  3. Wadogo na dada wa binti wameolewa, kama ndio je wana waume zao ama wake zao wapo na kama wapo je wakwe [walio oa ama kuolewa kwenye familia wapo?]
  4. Huyu binti , amesoma Vidudu, Msingi, Sekondari , A level na Chuo, huko kote hana marafiki wataty tu, kila alipopita?
  5. Huyu binti anafanya kazi kama si biashara kwa wachaggaa, hana bosi wala mfanyakazi mwenzie?
  6. Huyu binti , nina uhakika wameishi nyumba za kupanga, ina maana hana majirani watatu pale kinondoni, pale Ada Estate na sasa kwao mikocheni?
  7. huyu binti ni Kafiri [Mkristo], je hana kiongozi wa jumuia ama mchungaji wake ?
  8. Huyu binti hayo si mahusiano yake ya kwanza, ina maana hana ma-ex zake?
kwa haraka haraka ukijumlisha nlio wataja unapata watu 70.

Kwa maswali yako, naona unahisi wazungu huwa hawanaga ndugu na jamaa uliowataja

Small-wedding-2048x1365-1-768x512.jpeg
 
Kuna Send off moja nilihudhuria pale Johari Rotana nikiwa mualikwa upande wa muoaji(tuliletewa kadi 5 tu) na wao walikuwa 22 jumla watu 27
Kwa kweli niliipenda haikuwa na makokolo mengi
Utambulisho wa ndugu, story kidogo,kula kunywa ilipofika saa tano shughuli imeisha
Safi sana halafu Johari Rotana,siyo michango kibao sherehe inafanyika vichochoroni na mama ntilie ndani ya ukumbi.
 
Back
Top Bottom