Exile
JF-Expert Member
- Feb 21, 2021
- 1,477
- 3,642
Ok, naona wamekifuta chama chakeSijajua, nimeanza kumuona kwenye media hivi karibuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok, naona wamekifuta chama chakeSijajua, nimeanza kumuona kwenye media hivi karibuni
ni vizuri, hata China hakuna uhuru wa kipumbavu km huo mnaoutaka.Senegal imezuia upatikanaji wa Huduma za Intaneti kwa kile kilichodaiwa na Waziri wa Mawasiliano kuwa ni kutokana na kuenea kwa "ujumbe wa chuki" kwenye Mitandao ya Kijamii.
Hatua hii inakuja baada ya Kiongozi wa Upinzani, Ousmane Sonko kukamatwa Wiki iliyopita na kushtakiwa tena Jumamosi akidaiwa kufanya njama ya uasi, njama ya jinai na makosa mengine.
=================
Senegal has restricted access to internet services from Monday due to the spread of "hateful messages" on social media, communications minister said in a statement.
This comes after opposition leader Ousmane Sonko was charged on Saturday with plotting an insurrection, criminal conspiracy and other offences.
His followers have been angered by the prospect that his conviction could bar him from standing in next year's presidential election.
"Telephone operators are required to comply with the notified requirements," communications minister Moussa Bocar Thiam said in a statement.
Reuters
katibiwe hicho kichaaTurudi kwenye mada. Raia wa huko hawajui huyo waziri anakoishi wakafanye unfriendly visit?
we wa bara lipiAfrica imejaa watu wapumbavu sana!
Hawajui wanataka nini wapo kama ng'ombe tu....
Unauhakika hujatoroka milembekatibiwe hicho kichaa
Kwakweli sisi tutabakia kuburutwa tu mfano mzuri unauona ktk skata la bandari watanzania wamegawanyika zaidi ya vipande vya kioo kilichopasuka, uthubutu wa kila tulifanyalo kwa manufaa ya nchi ni mdogo sana. Na siku izi kinachotusaidia ni hii mitandao, humu tuta sema utazania ikifika mahali tunaweza iwajibisha Serekali kumbe hamna lolote tunaufyata na kukimbilia kusema hatuwezi kuwapigania wengine wakake madarakini.Sonko anaumiza kichwa serikali ila nawapongeza wananchi wa Senegal huwa hawamtupii majukumu peke yake. Akifungwa wanaandamana, akisomewa mashtaka wanampa support na inavyoonekana serikali ikifanya jaribio lolote dhidi ya uhai wake wananchi watakuwa wakali sana.
Senegal wanagawana majukumu, unawapigania na wao wanakupigania sasa bongo wananchi maneno mengi vitendo sifuri. Ukiamua kujipigania mwenyewe wanasema umelamba asali